Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Naomba wataalam mnijulishe, shemeji yangu kaondoka nyumbani kwa mumewe ambaye ni kaka yangu kisa eti amekuta mumewe kaandikiana na mwanamke sms wakiitana darling
Ndio maana unaitwa father of all.Una akili sana.Kuna mengi yamefichika hapo..Nadhani ukiona hiyo ujue ni tip of an iceberg. Kuna mengine mengi ambayo bi mkubwa hajasema. Hata hivyo ukiona limenoga la nje kufikia kukamatwa jua la ndani lilishaoza zamani.
Naomba wataalam mnijulishe, shemeji yangu kaondoka nyumbani kwa mumewe ambaye ni kaka yangu kisa eti amekuta mumewe kaandikiana na mwanamke sms wakiitana darling
jamani neno "darling" lina ubaya gani???? au tafsiri ndio inasumbua hapa....
Jamani darling! Nimekumiss. Leo lunch twaenda wapi? (Paw akiona hii naye leo anaenda kulala kwa mama yake, tutaunganisha na dinner. Sawa darling?)
jamani neno "darling" lina ubaya gani???? au tafsiri ndio inasumbua hapa....
una akili kama mimi
si bora huyo kakuta sms..kuna jamaa alikuta picha ya mkewe kamtumia kidume kupitia whatssapp. Bujibuji
Jamani darling! Nimekumiss. Leo lunch twaenda wapi? (Paw akiona hii naye leo anaenda kulala kwa mama yake, tutaunganisha na dinner. Sawa darling?)