Je, SMS ya mapenzi inaweza kuvunja ndoa?

Je, SMS ya mapenzi inaweza kuvunja ndoa?

Hapo kwa read ndio kuna mushkeli....teh teh teh! otherwise the word darling sometimes linatumika kuonesha a polite way of calling somebody you care...

darling watu8 unajua nimekumiss sana aftena mi nakupenda
KUDADEKI!!ngoja aione mkeo
 
Si ndo maana sikupendi. Nikijifikiria kuwa mibange kama wewe nachoka kabisa! Natafuta pastor wa kisabato anibatize mara kibao hadi akili itakate

hahahhahahhahhahhahh NDO BAS TENAAAAAA!
POLE WEE!
af babako anakaa anga zangu we subir
 
jamani kusema kweli haya majina yameisha umaana wake haswa yanatumika vibaya sana.
 
Hapo kwa read ndio kuna mushkeli....teh teh teh! otherwise the word darling sometimes linatumika kuonesha a polite way of calling somebody you care...

ahahahahahhan kumbe inauma enh!
sasa unajuaje na huyo shem wake Bujibuji alikuta hivo!?
ila ALL IN ALL MI SIVUNJI NDOA YANGU bana!KHA
 
Last edited by a moderator:
Matumizi ya neno "darling" hutegemea na muktadha wa maongezi ili kuondoa au kuepusha utata katika kueleweka...ni neno kutoka lugha ya watu hivyo hatuwezi kuanza kung'ang'aniza maana moja ambayo AKILI zetu zinang'ang'ania kuelewa hivyo.
 
Nimejaribu kutoa maoni yangu kulingana na kile kilicholetwa mezani na mkuu Bujibuji....yaani shemejiye ile kuona tu neno "darling", basi lile shipa la kiroho papo likamkaza huyo bi mkubwa...

ahahahahahhan kumbe inauma enh!
sasa unajuaje na huyo shem wake Bujibuji alikuta hivo!?
ila ALL IN ALL MI SIVUNJI NDOA YANGU bana!KHA
 
Last edited by a moderator:
sasa jamani nisitumie neno zuri kisa utashindwa kunielewa lol....!!!

we niite tu hivyo uone ka cjakung'ang'ania , kwetu africa hivyo bado vitu adimu jamani, tuangalie mazingira especialy kama unayemtumia ni mke/mme wa mtu
 
Nimejaribu kutoa maoni yangu kulingana na kile kilicholetwa mezani na mkuu Bujibuji....yaani shemejiye ile kuona tu neno "darling", basi lile shipa la kiroho papo likamkaza huyo bi mkubwa...
ah mtani shipa la roho lazima limtoke bidada lol!
darling hiv hiv tu kibongo bongo lazm upige ndwere!
 
Naomba wataalam mnijulishe, shemeji yangu kaondoka nyumbani kwa mumewe ambaye ni kaka yangu kisa eti amekuta mumewe kaandikiana na mwanamke sms wakiitana darling

Shemeji kakosea kupekua simu ya mmewe, jamani hizi simu kwa tilioa ni vema kila mmoja asiguse simu ya mwenzake. Ukihisi pori lina nyoka si busara kuingia na kujaribu kuwinda njiwa huko, ukikutana na nyoka ndoa utakumbuka busara ilikuwa ni kuacha njiwa waende zao.
 
Sasa ndio inapaswa mjifunze....hapo kilicholeta mushkeli ni "lugha gongana" tu....labda kama kuwe na sababu nyingine ambazo hatujaambiwa

we niite tu hivyo uone ka cjakung'ang'ania , kwetu africa hivyo bado vitu adimu jamani, tuangalie mazingira especialy kama unayemtumia ni mke/mme wa mtu
 
Sasa naona mnatupa mzigo mwingine wa kuanza kuwapeleka "English Course"....

mi kwa ajili ya hizi darling zenu na hiney sijui love za maofisini hizi mi nipeleke tu ili nizizoee!
 
Sasa hivi si ndoa tena, bali kuishi kama makundi ya nyumbu
 
teh! teh!....mambo ya kawaida tu hayo mtani, ondoa ile akili ya Mfaranyaki na Bombambili

mi kwa ajili ya hizi darling zenu na hiney sijui love za maofisini hizi mi nipeleke tu ili nizizoee!
 
Ukiona mwanamke anachukua maamuzi mazito kama aliyochukua huyo shemeji yake mdau, ujue alishavumilia mengi sana na sasa yamemfika shingoni.
 
Inawezekana shemejiiiiiiiiiiii alikuwa anapata habari za bro kuwa na kimada ila hakujiridhisha kwa ushaidi na jamaa alikuwa bingwa wa kubisha sasa amepata ushaidi kachorea majibu mstari kalinda maisha yake.
 
Back
Top Bottom