Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,364
...hahahahahaha...hapo km ni wewe unafanyajekipaji halisi hii ni zaidi ya big soo
...hahahahahaha...hapo km ni wewe unafanyajekipaji halisi hii ni zaidi ya big soo
Bujibuji shemeji yako ni hasira tu ndizo zilizomfanya aondoke na zikiisha atarudi kwa kaka yako na watakaa na kuongea kuhusu hilo kwani msg haiwezi kumuondoa mke ndani ya nyumba.Naomba wataalam mnijulishe, shemeji yangu kaondoka nyumbani kwa mumewe ambaye ni kaka yangu kisa eti amekuta mumewe kaandikiana na mwanamke sms wakiitana darling
Bujibuji shemeji yako ni hasira tu ndizo zilizomfanya aondoke na zikiisha atarudi kwa kaka yako na watakaa na kuongea kuhusu hilo kwani msg haiwezi kumuondoa mke ndani ya nyumba.
Simu bwana huwa zina raha yake inapofikia mtu mzima kukutwa na msg za mapenzi na mama watoto.
Kiranga anahusikaje apa?kakako nae ana kiranga!
Kiasi chake mkuu BujibujiMzee inaonekana unauzoefu sana kwenye hii field
Angekutana na hii hapa nanukuu kutoka kwa mke wa jamaa yangu mumewe alitumiwa na mwanamke "umeamkaje leo? mm nimeamka salama. nimekumiss sana mpenzi wangu maana ni muda hatujaonana au kukutana kimwili". Mke alipoisoma tu akaifoward kwa simu yake ndipo akanitumia. Bado hajamuuliza mume??!!! na mimi sijamtonya. mke anatafuta evidence zaidi. ingekuwa huyu wa darling tu ungekuta ameshajitundika. Inabidi kuwa strong wakati mwingineNaomba wataalam mnijulishe, shemeji yangu kaondoka nyumbani kwa mumewe ambaye ni kaka yangu kisa eti amekuta mumewe kaandikiana na mwanamke sms wakiitana darling
kwa sababu ni neno muafaka...
kivipi?
na mimi nlimweleza hilo hiloAngekutana na hii hapa nanukuu kutoka kwa mke wa jamaa yangu mumewe alitumiwa na mwanamke "umeamkaje leo? mm nimeamka salama. nimekumiss sana mpenzi wangu maana ni muda hatujaonana au kukutana kimwili". Mke alipoisoma tu akaifoward kwa simu yake ndipo akanitumia. Bado hajamuuliza mume??!!! na mimi sijamtonya. mke anatafuta evidence zaidi. ingekuwa huyu wa darling tu ungekuta ameshajitundika. Inabidi kuwa strong wakati mwingine
tafuta kamusi ya kiingereza...au tumia hata google utaelewa mana yangu