Je, sisi ni wajinga au wapumbavu?

Je, sisi ni wajinga au wapumbavu?

Kumbe hivi havikushushwa toka juu, vina wenyewe kumbe, Basi sawa
 
Zaidi ya sisi Watanzania kuwa wajinga na wapumbavu;
Ama sisi ni vichaa au tunaongozwa na vichaa...!




" Kuna vichwa 13 vya treni vimeshushwa hapa lakini havijulikani ni vya nani, tena inasemekana ni vibovu na TRL wamesema hawajaagiza na wala hawajasaini mkataba wowote. Hamkuuliza vya nani baada ya meli kuondoka ndio mnauliza, siku nyingine si watakuja kushusha hata na vifaru au makontena ya sumu," alisema Rais John Pombe Magufuli




Leo tunaambiwa tumeamua kuvinunua hivyo vichwa vilivyodaiwa vibovu na visivyo na mwenyewe!


Hebu turudi nyuma kidogo...



Wakati vichwa vinakanwa, nembo ya TRL inaonekana wazi ubavuni.

Turudi nyuma zaidi...


Shirika la Reli Tanzania (TRL) iliwahi kudaiwa kununua vichwa hivyo kupitia mkataba kati yake na kampuni ya EMD ya Marekani na utengenezwaji kufanywa na kampuni ya DCD ya Afrika Kusini.


Maswali...
  1. Tunavinunua tena kutoka kwa nani?
  2. Tutanunua hivi vichwa mara ngapi?
Nachokaa...ujanja kupata!

Tunaongozwa na vichaa
 
Kwanini waTanganyika na waZanzibari hawataki kupanda treni.... ??
[emoji13] [emoji23] [emoji119]
 
Zaidi ya sisi Watanzania kuwa wajinga na wapumbavu;
Ama sisi ni vichaa au tunaongozwa na vichaa...!




" Kuna vichwa 13 vya treni vimeshushwa hapa lakini havijulikani ni vya nani, tena inasemekana ni vibovu na TRL wamesema hawajaagiza na wala hawajasaini mkataba wowote. Hamkuuliza vya nani baada ya meli kuondoka ndio mnauliza, siku nyingine si watakuja kushusha hata na vifaru au makontena ya sumu," alisema Rais John Pombe Magufuli




Leo tunaambiwa tumeamua kuvinunua hivyo vichwa vilivyodaiwa vibovu na visivyo na mwenyewe!


Hebu turudi nyuma kidogo...



Wakati vichwa vinakanwa, nembo ya TRL inaonekana wazi ubavuni.

Turudi nyuma zaidi...


Shirika la Reli Tanzania (TRL) iliwahi kudaiwa kununua vichwa hivyo kupitia mkataba kati yake na kampuni ya EMD ya Marekani na utengenezwaji kufanywa na kampuni ya DCD ya Afrika Kusini.


Maswali...
  1. Tunavinunua tena kutoka kwa nani?
  2. Tutanunua hivi vichwa mara ngapi?
Nachokaa...ujanja kupata!

laana ya kuuwa watu na kuwatupa kwenye viroba inawaandama hawa maccm chama cha mauaji
 
Zaidi ya sisi Watanzania kuwa wajinga na wapumbavu;
Ama sisi ni vichaa au tunaongozwa na vichaa...!




" Kuna vichwa 13 vya treni vimeshushwa hapa lakini havijulikani ni vya nani, tena inasemekana ni vibovu na TRL wamesema hawajaagiza na wala hawajasaini mkataba wowote. Hamkuuliza vya nani baada ya meli kuondoka ndio mnauliza, siku nyingine si watakuja kushusha hata na vifaru au makontena ya sumu," alisema Rais John Pombe Magufuli




Leo tunaambiwa tumeamua kuvinunua hivyo vichwa vilivyodaiwa vibovu na visivyo na mwenyewe!


Hebu turudi nyuma kidogo...



Wakati vichwa vinakanwa, nembo ya TRL inaonekana wazi ubavuni.

Turudi nyuma zaidi...


Shirika la Reli Tanzania (TRL) iliwahi kudaiwa kununua vichwa hivyo kupitia mkataba kati yake na kampuni ya EMD ya Marekani na utengenezwaji kufanywa na kampuni ya DCD ya Afrika Kusini.


Maswali...
  1. Tunavinunua tena kutoka kwa nani?
  2. Tutanunua hivi vichwa mara ngapi?
Nachokaa...ujanja kupata!

Wale vijana wa Lumumba wenye akili madodoki huwezi waona hapa,maana hata kutetea watashindwa serikali ya waongo waliotukuka
 
c6e6572d9641163bb2dc8aa0e0d6118a.jpg
Mjinga hajui.. Akielimishwa akaelimika ujinga humtoka na kuwa mwerevu.... Mpumbavu ni mjinga aliyepata maarifa lakini hayakumsaidia
 
Mbona tupo
Hivyo vichwa vililetwa na dalali ambaye aliongeza cha juu dola milioni moja kwa kila kichwa akishirikiana na wazawa maruhuni.Magufuli akagundua janja ya nyani akasema namtaka mwenye hivi vichwa,Dalali alikuwa kachonga document za uongo za kufoji kuonyesha yeye ndio mumiliki.Alipoona moto umewaka akaingia mitini na zile document za kufoji akaona zitamfunga huyo akasepa,Baada ya muda yule mwenye vichwa halali na document halali akawa anafuatilia vichwa vyangu vipi naona kimya malipo sipati na dalali akipigiwa simu hapatikani.Akaja mwenyewe wakaongea na serikali akiwa na documents zote halali na bei halali serikali ikakubali kununua
 
Mbona tupo
Hivyo vichwa vililetwa na dalali ambaye aliongeza cha juu dola milioni moja kwa kila kichwa akishirikiana na wazawa maruhuni.Magufuli akagundua janja ya nyani akasema namtaka mwenye hivi vichwa,Dalali alikuwa kachonga document za uongo za kufoji kuonyesha yeye ndio mumiliki.Alipoona moto umewaka akaingia mitini na zile document za kufoji akaona zitamfunga huyo akasepa,Baada ya muda yule mwenye vichwa halali na document halali akawa anafuatilia vichwa vyangu vipi naona kimya malipo sipati na dalali akipigiwa simu hapatikani.Akaja mwenyewe wakaongea na serikali akiwa na documents zote halali na bei halali serikali ikakubali kununua
Unaonaje kama ukija na tungo nyingine?hii haitauza kwa kweli maana inakinzana kabisa na ili ya mkulu
 
Akili zetu zimejaa maji hivi kiongozi aliyesema hawajui walioagiza hivi vichwa vya tren kwani humu nchini kuna reli ngapi na hivyo vichwa vingetumia barabara ya rami kama magari? Mi tangu day 1 niliona usanii wa viongozi wakisema hawamjui mwagizaji
 
Mbona tupo
Hivyo vichwa vililetwa na dalali ambaye aliongeza cha juu dola milioni moja kwa kila kichwa akishirikiana na wazawa maruhuni.Magufuli akagundua janja ya nyani akasema namtaka mwenye hivi vichwa,Dalali alikuwa kachonga document za uongo za kufoji kuonyesha yeye ndio mumiliki.Alipoona moto umewaka akaingia mitini na zile document za kufoji akaona zitamfunga huyo akasepa,Baada ya muda yule mwenye vichwa halali na document halali akawa anafuatilia vichwa vyangu vipi naona kimya malipo sipati na dalali akipigiwa simu hapatikani.Akaja mwenyewe wakaongea na serikali akiwa na documents zote halali na bei halali serikali ikakubali kununua
Poleni Watanzania...huyu [B]YEHODAYA[/B] ni mmoja wa wasemaji waandamizi wa serikali ya Magufuli na hii taarifa anayotoa ina baraka za ofisi kuu. Awali tuliambiwa kamati ya wataalamu iliundwa kuchunguza sakata zima la vichwa vibovu visivyo na mwenyewe! Na sasa serikali inatoa bilioni 2.4 kununua vichwa vile vile ambavyo vilinunuliwa awali na TRL. Asante sana [B]YEHODAYA[/B] kwa ufafanuzi mzuri uliotukuka, CCM oyee! Rais wa wanyonge oyee!

NB: Ni huyu huyu [B]YEHODAYA[/B] aliyeomba tenda ya kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu mwaka jana! Mnakumbuka hii;

YEHODAYA said:
Usijali hata the hague wanipeleke kichwa cha lisu kikikatwa I don't mind najitoa muhanga heri mtu moja afe Kuliko taifa liangamie magufuli Kill lisu ruksa kunisingizia Mimi. Taifa ni LA muhimu kuendelea kuwepo kuliko kichwa cha Lisu Kill him now if you can.
 
Ni kweli kabisa viongo wa nchi ya kusadikika ni maiti.Walitangaza kwa mbwembwe eti Mzee Kijana kaokota vichwa vya tren mwenye navyo hajulikani na leo wanamlipa asiyejulikana
Tunaingizwa mjini wakati tunaishi mjini.
 
Toka zamani hizi tamthilia za serikali hii huwa siziamini. Tena mengi yanayosemwa kuhusu bandarini hakuna hata moja limewahi kuwa na ukweli
 
Back
Top Bottom