Hivi wamiliki wameshajulikana!!? Au ndio malipo "hewa" wanataka kuyafanya.
Ninyi ni wapumbavu si juzi tu mlisema hamjui ni mali ya Nani?
Ingekuwa vizuri watajwe na tujue kama walilipia ushuru. Kutowataja ndiyo mafisadi/wezi wanalindana.Hujaelewa nini mkuu? Ulipenda watajwe majina?
Babylon government will eventually fall.
Tumevinunua kwa watu wasiojulikana...Ninyi ni wapumbavu si juzi tu mlisema hamjui ni mali ya Nani?
Kwa utapeli wa serikali hizi unaweza kukuta mwanatume nae ni.mmiliki wa vichwa hivyo. Rais kashjndwa kuongoza nchi. Kila analofanya kesho au keshokutwa anaumbuka na kuonesha wazi udhaifu wake.Hivi si iliundwa tume ya wataalamu kuchunguza mmiliki na ubora wa hayo mabehewa? Au haiaminiwi tena
Sio mabehewa ni vichwa vya treni mkuu.Hivi si iliundwa tume ya wataalamu kuchunguza mmiliki na ubora wa hayo mabehewa? Au haiaminiwi tena
....Wahenga walisema cha mjinga huliwa na mwerevu...Ninyi ni wapumbavu si juzi tu mlisema hamjui ni mali ya Nani?
Hivi wamiliki wameshajulikana!!? Au ndio malipo "hewa" wanataka kuyafanya.
ThanksSio mabehewa ni vichwa vya treni mkuu.