Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Wakuu, mie nilipokuwa napatwa na tonsil miaka ya 80 mpaka 90 nilikuwa nadingwa sindano ya PPF (Procaine benzylpenicillin) kwa siku tana.
Dawa hii ilikuwa inanitibu haswa kwani siku ya mwanzo nilikuwa nikitokwa na jasho jingi na baada ya hapo maumivu yanapotea.
Miaka ya 2000 tumeanza kutumia vidonge vya PenV na sasa mara 'capsules'.
Swali langu, je matibabu ya sindano ya PPF yamesitiswa hapa nchini?
Dawa hii ilikuwa inanitibu haswa kwani siku ya mwanzo nilikuwa nikitokwa na jasho jingi na baada ya hapo maumivu yanapotea.
Miaka ya 2000 tumeanza kutumia vidonge vya PenV na sasa mara 'capsules'.
Swali langu, je matibabu ya sindano ya PPF yamesitiswa hapa nchini?