Mkuu 1: hatumii majina haya kwa mapenzi yake isipokuwa mwenyezi mungu ndiye aliyempa majina hayo kwa sisi hata akikutokea hapo sasa hivi atakwambia jina langu ni Lucifer au jina lingine lolote tu litakalo wakilisha uzuri wa kukulaghai hatumii yeye isipokua haya waliambiwa manabii na The CreatorDuuh, haya ninaomba unifafanulie haya machache.
1)Kwa nini anatumia majina mawili Dajjal na Ibilis?
2)Kwa nini anatumia namba 666(Kafir)
3)Namba 74 ina maana ipi kiroho?
4)Kwa nini mara nyingi huwa wanazidisha na namba 9?
5)Dajjal ana jicho moja lakini mbona Ibilisi ana macho mawili?
6)Kuna ukweli wowote kwamba Dajjal anaishi kwenye Bermuda triangle?.
Katika uumbaji wa viumbe hai ukiachana na wanyama tuwajuao wa polini wakuliwa na wasio liwa, MUNGU alifanya uumbaji mwingi yaani ni uumbaji wa sita ni Adam na kabla ya Adam aliumba Jini(MAJINI). uumbaji wenyewe ni huu
hinn, binn, timm , rimm , jann, jinn na Adam(human being). Katika viumbe hao isipokuwa binadamu tu ambae hakuumbwa kwa Moto. Hinn na binn walifanana zaidi na jini utofauti wao jini aliubmwa kwa moto usio na smoke(smokeless fire) WAKATI wengine waliubwa kwa moto wenye kuunguza( Scorching fire) na jini aliwaangamiza hinn na binn na ndio maana katika kuran wameelezwa jini ni viumbe waliofanya maovu zaidi katika uumbaji. Hii ilipelekea MUNGU kutoa amri ya kuangamiza majini wote. Na katika uangamizaji huo aliachwa Ibilis ambae nae alikuwa na kiburi na kupiga na Jeshi la Mungu. Inaelezwa Hinn na binn walimsapoti Ibilis katika vita hiyo.
source Wikipedia
Go and search Hinn for more details
Kwahiyo jinn ibilis aliwauwa supporters wake kwenye vita dhidi ya Mungu na malaika zake?
Na ushasema Mungu alitoa amri ya kuwaangamiza majini) hao viumbe sasa mbona wauliza tena ibilis (alikuwa jeuri na kupigana na majeshi ya malaika) ametokea ukoo gani tena?! Labda mimi sijakuelewa hii elimu mpya unayoileta hapa
Mkuu jinn na shetani ni wa moja hamna tofauti hapo hata kidogoAchana na mmb ya yesuyesu kaa chini elimika ndugu yngu..tatz lko hujui nn maana y jibi jinni ni nani na wala hutak kujifunza tifauti y jinni na sheatan ni ipi
Mkuu jinn na shetani ni wa moja hamna tofauti hapo hata kidogo
Kwani wewe unavyojua ibilisi historia yake ikoje?? Au unabisha bisha hovyo vitu usivyovijua?
Ibilisi ni jini ambaye alikuwa akiishi na malaika
sasa maswali yangu ndio nikayapanga kama ifuatavyo
1)Wazazi wake ni nani na nani?
2)Ndugu zake ni akina nani?
3)Anatokea katika aina/koo ipi ya majini?
4)Uzao wake ulianzaje anzaje?
5)Kama ikiwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adamu, je jini wa kwanza kuumbwa ni nani?[/QUOTJi ni ro ho zabinadamu wanaongaika kwa sababu ya ukaidi.NiFrustrated human spirit that have nothing to do,no body to occupy o so they just mess around with humans knowing that they will never again occupy a body to have the fun of being humans.People who commit suicide in most cases end becoming evil spirits because they can never be humans in the cycle of rebirth
Si umejibiwa sliminess hakuzaliwaMkuu, umezunguka sana lakini hujajibu maswali yangu haya.
1)Wazazi wa ibilisi ni akina nani?
2)Anatokea ukoo upi au aina ipi ya majini?
3)Historia yake ya kuzaliwa kwake ilikuwa kuwaje ,kulikuwa kuna ishara yoyote ile isiyo ya kawaida?
4)Je majini na wao waliwahi kuishi peponi kabla ya kushushwa duniani?
5)Historia yake mara baada ya kulaaniwa ikoje? Uzao wake ulikuwaje? Nani alikuwa mtoto wake wa kwanza?