Je, shetani/ibilisi anatoka koo zipi miongoni mwa koo za majini? Wazazi waliomzaa ni akina nani?

Fake story from fake people from fake book.
Majini you're Ni mashetani yaliyomuasi Mungu na kutupwa chini. Kiongozi wao mkuu ni Shetani aliyeitwa Lucifa hapo awali.
Habari za kuwepo majini mazuri ni kazi ya Shetani.
 
Kama inavyojulikana ibilisi alikuws ni jini miongoni mwa kundi la malaika,na kwa kuwa majini yanasifa ya kuzaliana basi bila shaka ibilisi na yeye alikuwa na wazazi na ndugu pia, na kama inavyojulikana majini yapo ya aina mbalimbali na koo pia sasa je ibilisi anatokea ukoo upi wa ujinini?,wazazi wake majina yao ni nani na nani, vipi kuhusu ndugu zake ni akina nani na nani?

Nani alikuwa jini wa kwanza kuumbwa?Je na wao lilitokea tukio la Adamu na Hawa kule Eden? Historia yao ilikuwaje mpaka wakaletwa duniani na kuzaliana?Je inafanana fanana na baba yetu Adamu??

Historia inaonesha kwamba mara baada ya majini kumuasi Mungu kupindukia ,malaika walitumwa na Mungu kwenda kuangamiza mji wao(Kama walivyoangamiza miji mingine e.g Sodoma na Gomora),na waliwaangamiza majini yote kasoro mmoja ambaye ndiye huyu Ibilisi, Ibilisi kipindi hicho alikuwa mdogo sana hivyo malaika walimuonea huruma kumuangamiza hivyo waliamua kwenda naye mbinguni,lakini Mungu aliwatadharisha sana juu ya Ibilisi kwamba ndiye kiumbe kitakacholeta maafa makubwa siku za mbeleni lakini malaika walimuomba sana Mungu awaruhusu wakae naye , Mungu alowakubalia ili asionekane dikteta na mtesaji kama ambavyo Ibilisi alikuwa akiwaaminisha hivyo baadhi ya malaika.

Kwa hiyo mpaka hatua hii inaonesha si kweli kwamba bifu la Ibilisi na Mungu lilianzia pale Ibilisi alipokataa kumsujudia Adamu kwa kudai yeye ni bora zaidi kwa kuwa kaumbwa kwa moto tofauti na Adamu aliyeumbwa kwa udongo, inaonesha Ibilisi bado alikuwa na hasira na kinyongo kwa kutenganishwa/kuuliwa kwa ndugu zake na hao malaika kwa amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu.


Sasa linakuja ,je baada ya Ibilisi kufukuzwa mbinguni uzao wake ulianzaje anzaje???Au je Ibilisi ndiye huyu Samael ambaye inasemekana ndiye aliyemchukua Lilith kutoka kwa Adamu na kuzaliana naye????

.
 
Sio Biblia tu hata Quran Pamoja Pamoja na vitabu vingi vya kiimani vimeficha vitu vingi sana...
1. History of Jinn and Iblis haijakaa vizuri!
2. Truth about Universe and Adams life!
3. Ugomvi kati ya Sir God na Mzee baba Shetty!
Nb; Heri kuweka personal ideas and arguments kuliko mistari ya kidini.
 
Sio Biblia tu hata Quran Pamoja Pamoja na vitabu vingi vya kiimani vimeficha vitu vingi sana...
1. History of Jinn and Iblis haijakaa vizuri!
2. Truth about Universe and Adams life!
3. Ugomvi kati ya Sir God na Mzee baba Shetty!
Nb; Heri kuweka personal ideas and arguments kuliko mistari ya kidini.
Kweli kabisa.
 
MKUUU IBILISI SIYO JINI ILA ASILI YAKE NI UJININI...KATOKA KWENYE UJINI NA KUWA IBILISI BAADA YA KUASI....SIJASEMA MAHALA POPOTE KUWA IBILISI NI JINI ILA IBILISI/SHETANI ASILI YAKE YA JINI...KWAHERI NITAJIBU LINGINE LITAKALO KWA WADAU SI KWAKO TENA MANA HUENDA UNAULIZA UKIWA NA MAJIBU YAKO KICHWANI
Jamaa ana kichwa kizito sanaaaaa😂😂😂 inatosha
 
Kama inavyojulikana ibilisi alikuws ni jini miongoni mwa kundi la malaika,na kwa kuwa majini yanasifa ya kuzaliana basi bila shaka ibilisi na yeye alikuwa na wazazi na ndugu pia, na kama inavyojulikana majini yapo ya aina mbalimbali na koo pia sasa je ibilisi anatokea ukoo upi wa ujinini?,wazazi wake majina yao ni nani na nani, vipi kuhusu ndugu zake ni akina nani na nani?

Nani alikuwa jini wa kwanza kuumbwa?Je na wao lilitokea tukio la Adamu na Hawa kule Eden? Historia yao ilikuwaje mpaka wakaletwa duniani na kuzaliana?Je inafanana fanana na baba yetu Adamu??

Historia inaonesha kwamba mara baada ya majini kumuasi Mungu kupindukia ,malaika walitumwa na Mungu kwenda kuangamiza mji wao(Kama walivyoangamiza miji mingine e.g Sodoma na Gomora),na waliwaangamiza majini yote kasoro mmoja ambaye ndiye huyu Ibilisi, Ibilisi kipindi hicho alikuwa mdogo sana hivyo malaika walimuonea huruma kumuangamiza hivyo waliamua kwenda naye mbinguni,lakini Mungu aliwatadharisha sana juu ya Ibilisi kwamba ndiye kiumbe kitakacholeta maafa makubwa siku za mbeleni lakini malaika walimuomba sana Mungu awaruhusu wakae naye , Mungu alowakubalia ili asionekane dikteta na mtesaji kama ambavyo Ibilisi alikuwa akiwaaminisha hivyo baadhi ya malaika.

Kwa hiyo mpaka hatua hii inaonesha si kweli kwamba bifu la Ibilisi na Mungu lilianzia pale Ibilisi alipokataa kumsujudia Adamu kwa kudai yeye ni bora zaidi kwa kuwa kaumbwa kwa moto tofauti na Adamu aliyeumbwa kwa udongo, inaonesha Ibilisi bado alikuwa na hasira na kinyongo kwa kutenganishwa/kuuliwa kwa ndugu zake na hao malaika kwa amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu.


Sasa linakuja ,je baada ya Ibilisi kufukuzwa mbinguni uzao wake ulianzaje anzaje???Au je Ibilisi ndiye huyu Samael ambaye inasemekana ndiye aliyemchukua Lilith kutoka kwa Adamu na kuzaliana naye????
Nilichogundua we jamaa umeandika andika tu ili upate watu wa kubishana nao ila maelekezo ya kukamlika tayari umeshaambiwa ila tu unaleta ubish wa kitoto sana mada haina kichwa wala miguu unataka ulekezwe vipi mbabaa
 
Kwahyo mkuu mtu mwenye majini na yakawa yanamsaidia katika shughuli zake bila kidhuru mtu mwingine kiufupi yanamnufaisha pasipokuwa na madhara yyte,JE KUNA TATIZO LOLOTE???KAMA ILIVYO KWA MFALME SULEIMAN
IBILISI/SHETANI NDIO KIZAZI KILICHO KATIKA MAFICHO YA UPEO WA MACHO NAE IBILISI NA MAJINI WALIUMBWA KABLA YA ADAM NA ALITOKANA NA KUUMBWA KWA NDIMI ZA MOTO "Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto."(QURAN 15:27).....KIHISTORIA IBILISI ALIKUWA MCHAMUNGU KIASI CHA KUITWA BABA WA SIJDA KUTOKANA NA KULE KUMSUJUDIA MWENYEZI MUNGU KIASI CHA KILA SEHEMU YA ARDHI ILIENEA SIJDA ZAKE....ALIASI KWA KULE KUTAKABALI KWAKE NAKUJIONA BORA ZAIDI YA ADAMU NA KUKATAA KUMPA SIJDA YA HESHIMA ADAM PINDI ALIPOUMBWA ``11. Na hakika tulikuumbeni, kisha tukakutieni sura, kisha tukawaambia Malaika: Msujudieni Adam. Basi wakasujudu isipo kuwa Iblisi, hakuwa miongoni mwa walio sujudu.12. Mwenyezi Mungu akasema: Nini kilicho kuzuia kumsujudia nilipo kuamrisha? Akasema: Mimi ni bora kuliko yeye. Umeniumba kwa moto, naye umemuumba kwa udongo.13. Akasema: Basi teremka kutoka humo! Haikufalii kufanya kiburi humo. Basi toka! Hakika wewe u miongoni mwa walio duni.14. Akasema: Nipe muhula mpaka siku watakapo fufuliwa.15. Akasema: Utakuwa miongoni mwa walio pewa muhula.16. Akasema: Kwa kuwa umenihukumia upotofu, basi nitawavizia katika Njia yako Iliyo Nyooka.17. Kisha nitawazukia mbele yao na nyuma yao na kuliani kwao na kushotoni kwao. Wala hutawakuta wengi wao wenye shukrani.18. Akasema:Toka humo, nawe umekwisha fedheheka, umekwisha fukuzwa. Hapana shaka atakaye kufuata miongoni mwao, basi nitaijaza Jahannam kwa nyinyi nyote."(QURAN 7:11-18)
.....IBILISI ALIKUWA KTK KIZAZI CHA MAJINI "Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu."(QURAN 18:50) ILA BAADA YA KUASI KWAKE ALITEREMSHWA DUNIANI...IBILISI ANA KABILA ZAKE IKIWA NI PAMOJA NA MAJINI/PEPO/ NA MASHETANI(KUNA NA MASHETANI WATU) NALO NDILO LINAUNDA JESHI LAKE ``Na majeshi ya Ibilisi yote.``(QURAN 26:95)
HAKUNA MAFUNGAMANO/USHIRIKA BAINA YA MAJINI NA BINADAMU HATA KAMA UNA KUNUFAISHANA"Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua."(QURAN 6:128)..ILA MWENYEZI MUNGU AKITAKA YEYE KWA IDHINI YAKE ANAWAAMRISHA MAJINI YAMTUMIKIE MJA WAKE APENDAVYO KAMA ALIVYOYAAMRISHA MAJINI YAMTUMIKIE MFALME NABII SULEIMAN "Na Suleiman tuliufanya upepo umtumikie. Safari yake ya asubuhi ni mwendo wa mwezi mmoja, na safari yake ya jioni ni mwendo wa mwezi mmoja. Na tukamyayushia chemchem ya shaba. Na katika majini walikuwako walio kuwa wakifanya kazi mbele yake kwa idhini ya Mola wake Mlezi. Na kila anaye jitenga na amri yetu katika wao, tunamwonjesha adhabu ya Moto unao waka."(QURAN 34:12)
SOMA ZAIDI KWENYE POST HII
JINI,SHAYTWAAN NA UCHAWI
 
Kwani wewe unavyojua ibilisi historia yake ikoje?? Au unabisha bisha hovyo vitu usivyovijua?

Ibilisi ni jini ambaye alikuwa akiishi na malaika

sasa maswali yangu ndio nikayapanga kama ifuatavyo

1)Wazazi wake ni nani na nani?

2)Ndugu zake ni akina nani?

3)Anatokea katika aina/koo ipi ya majini?

4)Uzao wake ulianzaje anzaje?

5)Kama ikiwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adamu, je jini wa kwanza kuumbwa ni nani?

Hapo kwenye namba tano nkurekebishe kidogo wakati tunasubiri wajuzi watujuze hili lakini adamu hakuwa binadamu wa kwanza kuumbwa.
 
:D :D :D :D :D :D :D yaani vingine ni kucheka tu ! sijui hii story umeitoa wapi? Umelala ukaota hicho ulichoandika,au kuna kitabu umekisoma na nikitabu gani?au umesimuliwa na mtu ? yaani hata hueleweki chanzo cha hii story yako ni nini umejiandikia tu mtu wa watu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom