Diplomatic Imunnity
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,180
- 316
jamani wadau napenda kuwajua ni kweli serikali ya tanzania imeshindwa kumpa nauli balozi mapuri wa china na balozi wa tanzania nchini breesuls ambayo walipewa barua za kumaliza muda wao tangu miezi sita iliyopita. kikubwa kinachonichanganya ni huyu baba wa kaya yetu wakati anamteua dk kamala na dk marmo kuwa mabalozi hajujua kuwa serikali haina pesa sasa kilichobaki naona leo kamala yupo mikumi kesho yupo paradise hotel yaani hawa mabalozi wateuli wamekuwa kama kuku waliokosa mabanda ya kulala naomba wadau mnisaidie nini tatizo