Mroojr
Member
- Nov 15, 2010
- 65
- 8
Sote tunajua walio waislam na wasio waislam kuwa kuna taasisi nyingi za kiislamu na madhehebu mengi ya kiislam kama ilivyo kwa wakristo.
Kuna Makadiani,Mabohora,Washia,Ahamadia,Ismailia,Sunni,Shafiiya(Bakwata) na wengi wengine ambao pengine sikuwataja hapa.
Kwa nembo yao wote hawa wanajiita waislam lakini wametofautiana kiitikadi mambo mengi tu kama ilivyo kwa wakristo wapo wakatoliki,waprotestant,wapentekoste,wasabato nk pia nao wanatofutiana kiitikadi lakini wakatoliki au wapentekoste au wengineo hawajamilikishwa hati miliki ya wakristo wote.
Kwa nini Bakwata wamilikishwe usemaji mkuu na utoaji wa maamuzi ya waislamu wote wakati hawa wote wanatofautiana kiitikadi na pengine kiibada kabisa? We kwa maoni yako unaona inafaa?
Kuna Makadiani,Mabohora,Washia,Ahamadia,Ismailia,Sunni,Shafiiya(Bakwata) na wengi wengine ambao pengine sikuwataja hapa.
Kwa nembo yao wote hawa wanajiita waislam lakini wametofautiana kiitikadi mambo mengi tu kama ilivyo kwa wakristo wapo wakatoliki,waprotestant,wapentekoste,wasabato nk pia nao wanatofutiana kiitikadi lakini wakatoliki au wapentekoste au wengineo hawajamilikishwa hati miliki ya wakristo wote.
Kwa nini Bakwata wamilikishwe usemaji mkuu na utoaji wa maamuzi ya waislamu wote wakati hawa wote wanatofautiana kiitikadi na pengine kiibada kabisa? We kwa maoni yako unaona inafaa?