je serikali ingetumia tahadhari gani endapo tsunami ingetokea

chimpa100

Member
Mar 28, 2012
44
5
juzijuzi tulisikia tsunami ingetokea pwani ya africa mashariki,je tahadhari gan ingeweza kuchukuliwa hasa na serikali ukizingatia ikulu haiko mbali sana na bahari,je tungetegemea nn
 
Kutokana na experience ya maafa ya mvua za mwisho wa mwaka jana ambazo zilinyesha kwa takribani siku mbili tu lakini hali ilikuwa mbaya sn Basi Tsunami ingeweza kuuwa na kuathiri takribani robo tatu ya DSM coz of mfumo mbovu wa mpango mji wa DSM.So tujiandae kabla ya maafa wadau kwa serikali kuboresha mipango miji uweza kukabiliana na Maafa mbalimbali
 
tahazari gani tena,
sunami inakuja ndo kila mtu anakimbilia kwake,
na njia ni ile ile ya kando ya bahari,
hivi wewe unaona kama una serikali eti eeh.
 
kwani kuna serikali iliyoweza kudhibiti tsunami duniani? Tsunami mwenazake ni mbio tu kuelekea milima ya uluguru ,usambara, udzungwa ,kilimanjaro na maeneo mengine ya miinuko. isitoshe kwa tanzania hakuna kitakachofanyika kutokana na karibu serikari nzima ingekuwa ya kwanza ku-tsunamiwa kwa maana ya ofisi zao na nyumba zao za kuishi kuwa pembezoni ya bahari,hii ingewakumba na asilimia kubwa ya mafisadi yaani kwa mtazamo wangu tungekuwa better off baada ya tsunami! nadhani yangekuwa mapinduzi murua ya majimaji!
 
Back
Top Bottom