MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,196
- 1,218
Mimi nianahasira na Soko la MBAAZI wewe unaleta habari za Magari na Plate number.................Agrrrrrrrrrrrrrrrrrrr...................................!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kusema ni protokali gani hiyo inayompa hizo privileges mkuu wa mkoa katika nchi nyingine?Hapo inaonekana ni Zanzibar kwa hivyo vi vespa tu.
Makonda alikuwepo zanzibar kikazi,kwa mujibu wa protokali anaruhusiwa kutumia gari ya serikali ya mapinduzi au ya muungano kwa shughuli za kikazi,na tiliona akipewa hundi ya milioni 50 kujenga ofisi za waalimu Dar
Gari ka kanisa katoliki DSM, nimepiga cha arusha jamani
Kati yako na Le Mutuz nani yupo karibu na RC?? kama le mutuz kakubali wewe ni nani uje ku doubt hapa??Mbona km hio plate no imekua edited?ukizoom tu utaona wazi kua bumber, show ya mbele haipo alligned na plate no?ila povu linavyotoka ss...
Daaaa nowmaaaa sanaaaaa...huo mkwaju speed 240....yani shidaaaaHabari wanaJF,
Katika peruzi peruzi yangu mitandaoni nimekutana picha iliyonishangaza baada ya kuona Gari aina ya Range Rover ikiwa na Plate Number inayoashiria kuwa anapaswa kuitumia Mkuu wa Mkoa RC DSM yaani RC(Regional Commissioner) DSM(Dar es Salaam).
View attachment 611861
Je, ni wakuu wa mikoa wote wanatumia Magari haya?
Je, kama si mali ya Serikali inawezekana Watu binafsi kutumia Magari yenye Plate Number zinazofanana na za viongozi wa umma?
Kama ni mali ya Mkuu wa Mkoa, Je ni sawa kutumia Plate Number yenye hadhi ya Uongozi wa Umma katika magari binafsi?
Haaaaa haaaaa haaa huyo Ana stress mbaya, namjua huyo haaaaaUmeielewa thread? Kuna sehemu nimekataa kutumia usafiri wa gari au nimehoji kutumia RC DSM kwenye gari hiyo? BTW ulishapataga ajira maana ulikuwa hukauki kule Jukwa la Kazi
Hicho cheo alipewa na nani na alikula kiapo lini na wapiHujui kama Huyu ni MKUU WA WAKUU WA MIKOA?
Hiyo plate no inatumika kwa magari ya serikali tu ambayo wakuu wa mikoa wamepewa ambayo ni Toyota Landcruiser V8, hiyo ni gari private.Samahani kaka/dada, hapo sijaelewa, amekosa nin? Samahani kwa usumbufu naomba unieleweshe kwa kifupi