Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
Naomba huu uzi usindikizwe na kibao murua cha gospel.
"Nina Baba yangu asiyeshindwa kamwe...
"Nina Baba yangu asiyeshindwa kamwe...
ni namba za zenji, huenda alivyokua huko alikabidhiwa huyo mnyama RRHii pikipiki hapo mbele mbn haina no za bongo
Hiyo ni gari ya BashiteWazandiki gani upuuzi mtupu mmekuwa watu wa kulalamika tu baada ya kufanya kazi ?
Serikali ina kila aina ya nyanzo zote za usalama kwa nini isiwakamate hawa watu waliocopy namba ya RC.
Wanaosema namba iko edited nadhani bado hawatakuelewaRc wa mikoa yote
Tena sanaHahaha makonda bana ,huyu jamaa ana enjoy
Na hii video wamekopy. Tukiwaambia maccm mnairusha hii nchi nyuma mnakataa. Kawapa hao wazee vijana pombe wamwimbe wazanzibar wapi na wapi na yeye. Na kasafiri nayo ndani ya boti mpaka zanzibarukiiangalia kwa umakini,ume-edit wewe hiyo plate number mkuu
Ili iweje? Kisha jiulize makonda alienda pemba kama nani? Maana kama sikosei/ nipo tayar kusahihishwa tamisemi sio mambo ya muungano. So alienda kama mtalii wa kawaida au vipi? Ile hundi aliyopewa ni kwajili ya nn! Mana kama sikosei zanzibar wanahitaji msaada wetu kuliko sie. Siwaadharau watu wa unguja nduguHiyo plate number imepachikwa na wazandiki.
use of public positions for personal gains that is corruption....Habari wanaJF,
Katika peruzi peruzi yangu mitandaoni nimekutana picha iliyonishangaza baada ya kuona Gari aina ya Range Rover ikiwa na Plate Number inayoashiria kuwa anapaswa kuitumia Mkuu wa Mkoa RC DSM yaani RC(Regional Commissioner) DSM(Dar es Salaam).
View attachment 611861
Je, ni wakuu wa mikoa wote wanatumia Magari haya?
Je, kama si mali ya Serikali inawezekana Watu binafsi kutumia Magari yenye Plate Number zinazofanana na za viongozi wa umma?
Kama ni mali ya Mkuu wa Mkoa, Je ni sawa kutumia Plate Number yenye hadhi ya Uongozi wa Umma katika magari binafsi?
Alienda kuandaa mauaji na utekaji mengine. Yeye ndio maliyamungu anaeteketeza watu. Ila ipo siku yake anamchezea mungu kwa kukia makanisani na misikitini kwa kumdanganya mungu. Adhabu yake hatakaa haisahau maishani mwakeIli iweje? Kisha jiulize makonda alienda pemba kama nani? Maana kama sikosei/ nipo tayar kusahihishwa tamisemi sio mambo ya muungano. So alienda kama mtalii wa kawaida au vipi? Ile hundi aliyopewa ni kwajili ya nn! Mana kama sikosei zanzibar wanahitaji msaada wetu kuliko sie. Siwaadharau watu wa unguja ndugu
Naona watu wengi wanamtuhumu makonda ila ukweli ni kwamba iyo gari iko edited