Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
naomba kuuliza mnaojua magari, kwani hii range rover brand new na land cruiser vx v8 mma kabisa ipi bei ghali zaidi????
Niliwahi muona Bashite/Makonda kwenye LUXUS NYEUSI IKIWA NA RC, halafu baadaye nilimwona ndani ya VX G8 nyeupe ikiwa na RC piaHiyo plate number imepachikwa na wazandiki.
Mkuu kuna video humu itafute ujiridhisheMbona km hio plate no imekua edited?ukizoom tu utaona wazi kua bumber, show ya mbele haipo alligned na plate no?ila povu linavyotoka ss...
halafu bado Wakatoliki bado wanamwona Pengo ni kiongozi wao wa kiroho! kiroho kipi kisichoona uovu kama huu? kiongozi wa kiroho asiyeshitushwa na tukio la Lissu kupigwa risasi - hicho ndo kiroho cha "mungu" yupi?Habari wanaJF,
Katika peruzi peruzi yangu mitandaoni nimekutana picha iliyonishangaza baada ya kuona Gari aina ya Range Rover ikiwa na Plate Number inayoashiria kuwa anapaswa kuitumia Mkuu wa Mkoa RC DSM yaani RC(Regional Commissioner) DSM(Dar es Salaam).
View attachment 611861
Je, ni wakuu wa mikoa wote wanatumia Magari haya?
Je, kama si mali ya Serikali inawezekana Watu binafsi kutumia Magari yenye Plate Number zinazofanana na za viongozi wa umma?
Kama ni mali ya Mkuu wa Mkoa, Je ni sawa kutumia Plate Number yenye hadhi ya Uongozi wa Umma katika magari binafsi?
Utamfata tanzagiza sasa hiviMungu wa dar es salaam huyo
Mkuu kuna video humu itafute ujiridhishe
Kuna uwezekano aliitumia gari hii alipokuwa Zbar kwenye sherehe za kuzima mwenge! Hapo inaonekana ni Zbar...Habari wanaJF,
Katika peruzi peruzi yangu mitandaoni nimekutana picha iliyonishangaza baada ya kuona Gari aina ya Range Rover ikiwa na Plate Number inayoashiria kuwa anapaswa kuitumia Mkuu wa Mkoa RC DSM yaani RC(Regional Commissioner) DSM(Dar es Salaam).
View attachment 611861
Je, ni wakuu wa mikoa wote wanatumia Magari haya?
Je, kama si mali ya Serikali inawezekana Watu binafsi kutumia Magari yenye Plate Number zinazofanana na za viongozi wa umma?
Kama ni mali ya Mkuu wa Mkoa, Je ni sawa kutumia Plate Number yenye hadhi ya Uongozi wa Umma katika magari binafsi?
Yeye kapewa atumie tu,wewe inakuwasha nini wakati pilipili haikuhusuUnaweza kusema ni protokali gani hiyo inayompa hizo privileges mkuu wa mkoa katika nchi nyingine?
Na pili, vipi mpango wa kubana matumizi? Maana kutumia gari luxurious kama hilo kwenye nchi ambayo bado wanafunzi wanasomea chini ya mwembe ni kufuru.
..duh bashite amebadili tena gari ya RC...maana mwanzo alikua anatumia gari aina ya lexus aliyompora mtuhumiwa wa madawa ya kulevya..naona sasa amebadili tena baada ya kusemwa....na hili atakuwa amempora mtu pia...
Haja edit, ni kweli alipanda Makonda akiwa Zenjukiiangalia kwa umakini,ume-edit wewe hiyo plate number mkuu
Angalia video iliyorushwa ndo upate ukweliEmotions siku zote huathiri uwezo wa kufikiri, kwani ameonekana na hiyo gari au ndo mazoea ya kuhukumu watu? Amini nawaambia kila anaeamini kile macho yanachokiona ni mpumbavu coz vingine ni ulaghai
Hiyo edited mkuu ,jarib kuangaria uwiano wa hiyo plate no~ na position ilipo ,nafas ya kuwekea plate number kwenye hiyo gari ni ndefu na nyembambaHabari wanaJF,
Katika peruzi peruzi yangu mitandaoni nimekutana picha iliyonishangaza baada ya kuona Gari aina ya Range Rover ikiwa na Plate Number inayoashiria kuwa anapaswa kuitumia Mkuu wa Mkoa RC DSM yaani RC(Regional Commissioner) DSM(Dar es Salaam).
View attachment 611861
Je, ni wakuu wa mikoa wote wanatumia Magari haya?
Je, kama si mali ya Serikali inawezekana Watu binafsi kutumia Magari yenye Plate Number zinazofanana na za viongozi wa umma?
Kama ni mali ya Mkuu wa Mkoa, Je ni sawa kutumia Plate Number yenye hadhi ya Uongozi wa Umma katika magari binafsi?