omaey ashiru
Member
- Dec 8, 2020
- 42
- 33
Habari wana JF nataka kununua Samsung Galaxy S7 edge mwaka huu, kwani Bado ina ubora uleule wa 2016?
Naombeni ushauri wenu


Naombeni ushauri wenu






Kujuta kvp?android mwisho 8 kama sikosei na bei ya dukani inafika laki 8 ila kama unataka Used za china unapata hata kwa laki 3.5 ila jiandae kujuta
Kwan hii ina shda gan samahan lkntafuta s8plus utakuja kunishukuru
Okay nimekupata2020 unataka kununua simu ya 2016??? Mabadiliko makubwa sana ya technolojia yamefanyika ndani ya miaka mi4..nakushaur jichange ununue simu ya kisasa i mean matoleo ya hivi karibuni
Kioo Ni Kila cm lkn hucpoiprotect vzrUwe tayari kula hasara kioo kikizingua.
Vya zaman n bora kulko vya kisasa au coNunua tu as long as ipo Ndani ya budget.
Mbona watu wananunua iPhone ya 2016 (iPhone 7) wengine ata iPhone ya 2014 (iPhone 6) na wanajiona wajanja.
Namaanisha kikishavunjika kilichopo asahau kupataa kioo cha kufix. Vingi vinakufa chini ya miezi 3Kioo Ni Kila cm lkn hucpoiprotect vzr
Hatojutia akichukua s8+. Mimi nimechukua yangu mpyaaaa week iliyopita. Iko poa sana. Updated to Android 9, Dark mode, n.k.tafuta s8plus utakuja kunishukuru
Uko sahihi,maswala ya update kuna watu wengi wanatumia hawajui hata umuhimu wake,nunua tu mzee mradi tu unapata unachokihitaji,mbona kuna watu wengi tu wananunua gari za 2003 na wanasafiri bila shida!jikune pale mkono wako unapoishia...Nunua tu as long as ipo Ndani ya budget.
Mbona watu wananunua iPhone ya 2016 (iPhone 7) wengine ata iPhone ya 2014 (iPhone 6) na wanajiona wajanja.
Umeichukua kwa shilingi ngapi mkuuHatojutia akichukua s8+. Mimi nimechukua yangu mpyaaaa week iliyopita. Iko poa sana. Updated to Android 9, Dark mode, n.k.View attachment 1649651
Sema sivutiwi na simu yenye finger scanner ya nyuma. Ila iko poaHatojutia akichukua s8+. Mimi nimechukua yangu mpyaaaa week iliyopita. Iko poa sana. Updated to Android 9, Dark mode, n.k.View attachment 1649651
S8 plus.. Kwa watumiaji wa android, hii simu ni bora kabisa, unmatched. From my experience ya kutumia s4, note 5, s7 edge, s8+, note 9 na s10.tafuta s8plus utakuja kunishukuru