Acheni kulilishwa ujinga ile familiya ni habari nyingine huyo Juma anajikosha
Huyu mwamba ni mfano halisi wa mtu smart kichwani.RA ni moja ya watu ambao ni smart. Anaichukulia very serious Tanzania. Anajua ataendelea kuchumua as long as he keeps his profile low and with no squabbles with politicians or the existing political and leadership system.
Namkubali sana huyu mwanawane.
Jasusi kama RA ataachaje kuwa smart. Ona alichofanya na hisa zake pale Vodacom.RA ni moja ya watu ambao ni smart. Anaichukulia very serious Tanzania. Anajua ataendelea kuchumua as long as he keeps his profile low and with no squabbles with politicians or the existing political and leadership system.
Namkubali sana huyu mwanawane.
Hisa za Vodacom zilikuwa za CCM. Alirudi akawarudishia wenyewe hela zao. Kuna mdogo wako nyara za serikali zilitaka kumtoa roho. Ilibidi aje kujisalimishaJasusi kama RA ataachaje kuwa smart. Ona alichofanya na hisa zake pale Vodacom.
Huyu mwamba ni mfano halisi wa mtu smart kichwani.
Alivyopiga hatua mpaka kuwa mshika maburungutu ya ccm wayback ilikuwa move smart sana.
Huyu mwamba ni mfano halisi wa mtu smart kichwani.
Alivyopiga hatua mpaka kuwa mshika maburungutu ya ccm wayback ilikuwa move smart sana.
Ni kweli kabisa.wa mabasi,viwanda sio mbunge.sema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.huyu mbunge ni mmoja wa wabunge wachachewanaojali sana wanyonge ila wapinzani wake wamembambikia ili atukanwe na kudhalilishwa.na kaonyesha nidhamu ya hali ya juu kwa kunyamaza kimya kwa kuwa aliyemsema ni mkubwa wake.Hongera mbunge Abood.Apia..!