Je, Rostam Aziz ataitikia wito wa kugombea Ubunge Morogoro Mjini?

Ikumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu ubunge wa jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara.

Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz?

Ikumbukwe kuwa hawa wote ni Aziz.

Maendeleo hayana vyama!
Yule jamaa abaki nyuma ya pazia tu
 
daaaah kuna mambo yana sukitisha sana, hizi nchi zetu kuchezewa na wageni tatizo hua ni nini?
 
Ikumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu Ubunge wa jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara.

Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz?

Ikumbukwe kuwa hawa wote ni Aziz.

Maendeleo hayana vyama!
Namshauri abood ajiuzulu ubunge
 
2015 alicheza karata vibaya .Ni kweli ana akili nyingi sana lakini 2015 karata zilimshinda kucheza akakimbia na Lowasa Chadema akawekeza nguvu nyingi kule na washirika wake wa ndani na njr akijua atashinda!!!!! Ikala kwake!!

Kama 2015 Rostam hakupata pressure haji kupata tena.Mimi hata huwa sielewi kwa akili na connetions na networks alizo nazo Rostam za ndani na nje aliwezaje kweli kufikia Conclussion kuwa Lowasa atashinda? .Anyway aligundua kosa after 2015 akajirudi mbio

Ilikuwa sababu ya historia yao na uwepo wa awamu ya nne. Waliamua kufanya mambo ya kumwaga ugali na mboga. Na ndio maana aliweza kujirudi haraka haraka na kuamua bora yaishe.
 
JPM ana nguvu ya kumwambia sababu yeye sio Marehemu Lawrance Gama ambaye wakati ni RC alikuwa anaelewa nini Abood anafanya. For once lets think two steps ahead!
Gama alipata kuwa RC Morogoro
 
CCM waendelea kuyahodhi majimbo kama mali yao - haya Rostam pande hili wewe tu na roho yako.
 
Kwa hiyo anamtaka agombee Moro kwani ndio jimbo lake? au yeye atampa kama walivyopewa wengine? Ina maana 2025 bado atagombea uraisi ili amsaidie huyu mhindi.
 
Kwa hiyo anamtaka agombee Moro kwani ndio jimbo lake? au yeye atampa kama walivyopewa wengine? Ina maana 2025 bado atagombea uraisi ili amsaidie huyu mhindi.
Morogoro haina mwenyewe bwashee!

Si umewaona akina Prof Jay na Devotha Minja wanatamba tu!
 
Alijiuzulu akasema siasa za Tanzania ni maji taka agmbee ya nini tena?
RA ni moja ya watu ambao ni smart. Anaichukulia very serious Tanzania. Anajua ataendelea kuchumua as long as he keeps his profile low and with no squabbles with politicians or the existing political and leadership system.

Namkubali sana huyu mwanawane.
l
 
Ikumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu Ubunge wa jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara.

Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz?

Ikumbukwe kuwa hawa wote ni Aziz.

Maendeleo hayana vyama!
1:Alipo kuwa kigoma alimshauri Diamond agombee ubunge wa kigoma mjini.

2:Alimshauri Harmonize agombee ubunge Tandahimba.

Vipi hao wote leo ni wabunge?
Huwa unajiuliza maswali na kuyajibu kabla ya kupandisha threads zako kweli?
 
RA ni moja ya watu ambao ni smart. Anaichukulia very serious Tanzania. Anajua ataendelea kuchumua as long as he keeps his profile low and with no squabbles with politicians or the existing political and leadership system.

Namkubali sana huyu mwanawane.
Dua za wana Yanga ni kwa Rostam aweze kugombea ubunge
 
1:Alipo kuwa kigoma alimshauri Diamond agombee ubunge wa kigoma mjini.

2:Alimshauri Harmonize agombee ubunge Tandahimba.

Vipi hao wote leo ni wabunge?
Huwa unajiuliza maswali na kuyajibu kabla ya kupandisha threads zako kweli?
Sasa unamfananisha King maker Rostam Aziz na wakata viuno wa kampeni?

Bure kabisa wewe.
 
Abood wa Mabasi na Mbunge ni watu wawili tofauti. Kama hujui nakujuza leo.
Hapo naona unamkosoa hata mwenyekiti aliyesema kuwa Abood alikuwa anatumia vile viwanda kuchukulia mkopo wa kununulia mabasi.

Na akawa anayatumia hayo mabasi kuwasaidia wana Morogoro kwenda kuzika
 
Back
Top Bottom