Je, RIFA consultants co ltd ni matapeli?

Je, RIFA consultants co ltd ni matapeli?

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,341
Vijana kukosa ajira sasa kumeibuka wimbi la utapeli ambao unawatapeli wahusika wanaotafuta ajira, mfano hai latest ni hawa wanajiita RIFA CONSULTANTS CO LTD.

Na pia ndugu zangu kua makini pia hata na rafiki zako ambao wanajifanya kutaka kukusidia upate kaz analukutanisha na mtu ambae anakuambia kua ni rafiki yake then anakuhakikishia kua seheem flan pana nafas ya kazi na utaipata.

Technique wanayotumia ni kua hauombwi hela kubwa, anaanza kukuomba "katen" ka soda, we si utaona sawa tu, baada ya wiki anaomba "ka" elfu 20 ya kumpa HR...baada ya wiki tena anaomba "ka" elfu 30 ya kumpa eti bosi,

Kuna ndugu yangu ametapeliwa elfu 60 kwa mbinu hii hii, at the end of the day hamna kazi wala nini, anapigwa kalenda na sms za kipuuzi za uongo uongo, mara niko na mabos wako, mara kesho mamb fresh, mara uhakika wiki ijayo uvae vizuri, wanamtaja hata mungu, eti Mungu mwema, utanenepa, ...and all sort of rubbish texts ili tu kukupumbaza.

Ndugu yang alivoenda kumuambia rafiki yake kua vp mbona sielewi, rafiki anaruka kimanga eti na yeye anajidai kushangaa.

Jamani kueni makini hata huyo unaejidai rafiki walaa sio rafiki, anaeweza kukusaidia saiv labda mpenz wako ama kama umeoa ama kuolewa bas huyo mwenza wako au wazaz wako PERIOUD!!!

Huyo aliemtapeli ndug yangu ntaleta picha yake hapa na namba pia ili umma ujue na hio sehemu aliyopanga amtafutie kazi ili kama kuna mtu anafanya kaz hapo wajarib kuwasiliana na uongozi kuhusu huyu mtu pengine ameshafanya hivo kwa wengi.
 
1473493933254.png


Alianza na elfu kumi ya soda.....
 
Hakuna kazi ya kutoa hela ili uiapte mimi nasisitiza ni uzembe kuibiwa kwa style hii
Ni kweli mkuu, lakin kumbuka rafiki.yake ndio alimuintroduce kwa huyu mtu ina mana angekua na hofu tena?? Labda kama wangekutana tu mjini ama.atumiwe sms za kuitwa interview za kitapeli kama hao RIFA consultants, na kuombwa hela, lakin ni different scenario, mfano mkuu wewe unatafuta kaz then rafik yako anakuintroduce kwa mtu anaemjua kua anakusaidia kupata kazi, utakataa na kutomuamin rafik yako??
 
Jamaa anaonekana shababi hatari kumbe tapeli
Mkuu acha tu aisee naona vijana watalizwa sana mjini hapa namuomba tu jpm afungulie hizo ajira za serikali aise.
Anafanya kaz exim bank. Hata wanaofanya kaz baadh yao ni matapeli hawaridhiki na wanachokipata, huna hata huruma moyon na hofu ya Mungu.
 
mkuu nahisi hawa jamaa watakuwa matapeli me walinita interview wakasema nitume 11500/= kwa ajili ya kuwalipa mainterviewer sijui na gharama nyingine .

Mhh nilipopata hii meseji nilishtuka sana pesa inaonekana kuwa ndogo sana lakini itakuwa wao waliwatumia iyo meseji watu wote waliomba ili wao wapate pesa nyingi kwa hiLi roho yangu iligoma nilipopiga simu kwenye ile namba yao wanakata na hawapokei hapo ndipo nilipojiridhisha kabisa hawa watakuwa matapeli kabisa nikaachana nao kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom