Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
- Thread starter
-
- #21
Ridhwani anatafuta umaarufu,Hakuna uhusiano wowote na sula la DEEP Green,hawa jamaa wa mwanahalisi na wenyewe wananunuliwa
Rishwan kamaliza Mlimani Mwaka 2005 yaani mwaka wa chuo 2004/2005 na kaanz akazi pale IMMA baada ya Uchaguzi.
hii yote ni danganya toto ya kufuta mambo yote ya Lowassa,Kwani Kubenea Hamumjui anasimamia wapi???
tusimame pamoja kwa maendeleo ya kweli,Mwanasiasa wa ukweli ni MMoja tu na nitakuja kumtaja baadaye,Juzi nimepewa kuhusu yote yahusuyo Upinzani na nikiyasema aki ya mbongo nakuamini utabadili muelekeo wako,
hakuana cha Chadema wala nini
CCM ni taifa kubwa
Jamani!
Eti mi niliwahi kuandika hapa vijana ambao mmoja wao anatarajiwa kuwa Rais wa Tanzania wa baadaye. Nilimtaja Zitto, Mwanakijiji, Kitila, Ridhwan Kikwete nk. Madela wa Madilu naye akaiongeza mwenyewe kwenye orodha. Nimesikitika leo Ridhwan Kikwete ametajwa naye na gazeti la Mwanahalisi kuhusika na ufisadi wa Deep Green. Hivi ni kweli jamani kuwa na yeye ni fisadi? Kama ni kweli si anachafua jitihada za Rais Kikwete za kupambana na ufisadi Tanzania? Sasa nani watanzania tumwamini kumpa uongozi wa nchi yetu siku za baadaye?
Asha
Asha,
hebu slow down abit. Tushakubaliana kuwa hapa JF sisi ndio tunaoset the agenda na wala si kufuata haya magazeti ambayo kwa kiasi kikubwa huja humu kuchukua data.
Sasa nashauri kikosi cha CSI cha JF kiingie kazini kituletee ushahidi wa kutosha na hapo ndipo tutajua kama tunawez akuconclusde kama RIDHWANI ni fisadi au la
personally siwapendi watawala wetu lakini mara nyingi huwa ninaambatanisha ushahidi na kama sina huwa nasema wazi kuwa sina ushahidi
Kikosi chako GT kilitupeleka mashakani kuhusu Membe. Chonde usitupeleke tena machakani ukatuletea embe kuhusu Ridh1. Nimeuliza maswali mengi mpaka sasa hayajajibiwa
Asha
Ndugu Asha
Mwansiasa wa kweli ni Mtanzania Masikini asiye jua chochote kuhusu siri ya Upinzani.
Wewe uanikiri ni kwanini JK alienda kumpa Pole Kubenea??Unadahani kwanini Jk kampa Mwandosya UWaziri wa Maji??Je unafikiri Dr. Mwakyembe yuko Kambi gani??Fikiria mara mbile na tatu zaidi then utajua what is goingon inside this country
Full Usanii,Tunahitaji watu wa type ya Martha Karua ili kuleta MAendeleo na sio watu wanochukua sera za Ujerumani kuleta hapa Bongo mathalani Chadema.
nimekaa na kufikiria bado naona CCM ni chama Bora,na Azimio jipya la wiki ijayo la Butiama litairusha CCM ya zamani.Miiko ya Uongozi inarudishwa
Fungua macho na uone??
Ndugu Asha
Mwansiasa wa kweli ni Mtanzania Masikini asiye jua chochote kuhusu siri ya Upinzani.
Wewe uanikiri ni kwanini JK alienda kumpa Pole Kubenea??Unadahani kwanini Jk kampa Mwandosya UWaziri wa Maji??Je unafikiri Dr. Mwakyembe yuko Kambi gani??Fikiria mara mbile na tatu zaidi then utajua what is goingon inside this country
Full Usanii,Tunahitaji watu wa type ya Martha Karua ili kuleta MAendeleo na sio watu wanochukua sera za Ujerumani kuleta hapa Bongo mathalani Chadema.
nimekaa na kufikiria bado naona CCM ni chama Bora,na Azimio jipya la wiki ijayo la Butiama litairusha CCM ya zamani.Miiko ya Uongozi inarudishwa
Fungua macho na uone??
Asha,
hebu slow down abit. Tushakubaliana kuwa hapa JF sisi ndio tunaoset the agenda na wala si kufuata haya magazeti ambayo kwa kiasi kikubwa huja humu kuchukua data.
Sasa nashauri kikosi cha CSI cha JF kiingie kazini kituletee ushahidi wa kutosha na hapo ndipo tutajua kama tunawez akuconclusde kama RIDHWANI ni fisadi au la
personally siwapendi watawala wetu lakini mara nyingi huwa ninaambatanisha ushahidi na kama sina huwa nasema wazi kuwa sina ushahidi
Hodi jamani,
Kama kuna vijana wasafi wa maadili na wasio na makuu,basi huyu kijana Ridhiwani ni miongoni mwao.Kwa bahati nzuri nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa nyendo za watoto wa vigogo,lakini huyu ameonekana msafi.Labda wana JF mnipe tafsiri hasa ya mtu fisadi.
Ni mimi mgeni wenu kicheche mwandamizi.
Yanahusiana na Suala la Ridhwani,Sababu Riz ni mwanachama wa CCM na pia ni kiongozi wa chama cha mapinduzi.na nasisitiza Rishwani hausiki na sual la Deep Green na alikuwa Mwanafunzi pale Mlimani wakati mchakato unaanza.
Ridhwani alimaliza MAsomo yake June Mlimani na alihitimu November na aliaajiriwa baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais. na akaenda kusoma .
Mwafrika wa kike,tuache bla blah
Nimesikitishwa sana na chadema kuonekana chama cha kikabila na pia kuhusishwa kwa ujerumani na chama chenu.Mnatupeleka wapi??
Siwezi kukubali kueleta ukoloni tena katika nchi yetu!Msiwahadae watanzania
Yanahusiana na Suala la Ridhwani,Sababu Riz ni mwanachama wa CCM na pia ni kiongozi wa chama cha mapinduzi.na nasisitiza Rishwani hausiki na sual la Deep Green na alikuwa Mwanafunzi pale Mlimani wakati mchakato unaanza.
Ridhwani alimaliza MAsomo yake June Mlimani na alihitimu November na aliaajiriwa baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais. na akaenda kusoma .
Mwafrika wa kike,tuache bla blah
Nimesikitishwa sana na chadema kuonekana chama cha kikabila na pia kuhusishwa kwa ujerumani na chama chenu.Mnatupeleka wapi??
Siwezi kukubali kueleta ukoloni tena katika nchi yetu!Msiwahadae watanzania
Siwezi kukubali kueleta ukoloni tena katika nchi yetu!Msiwahadae watanzania
Yanahusiana na Suala la Ridhwani,Sababu Riz ni mwanachama wa CCM na pia ni kiongozi wa chama cha mapinduzi.na nasisitiza Rishwani hausiki na sual la Deep Green na alikuwa Mwanafunzi pale Mlimani wakati mchakato unaanza.
Ridhwani alimaliza MAsomo yake June Mlimani na alihitimu November na aliaajiriwa baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais. na akaenda kusoma .
Mwafrika wa kike,tuache bla blah
Nimesikitishwa sana na chadema kuonekana chama cha kikabila na pia kuhusishwa kwa ujerumani na chama chenu.Mnatupeleka wapi??
Siwezi kukubali kueleta ukoloni tena katika nchi yetu!Msiwahadae watanzania
Ni kweli jamani, hebu mnaojua mtueleze:
Ridhwan Kikwete amehusika na kashfa ya Richmond?
Ridhwan Kikwete aliajiriwa IMMA kabla ya kumaliza shule?
Ridhwan Kikwete alikwenda kusomeshwa Hull kwa mchango wa IMMA?
Ridhwan Kikwete aliwasaidia IMMA kwa namna yoyote katika suala la Deep Green?
Ridhwan Kikwete alifahamu chochote kuhusu Deep Green wakati wa kampeni?
Ridhwan Kikwete anaukaribu gani na Masha wa kibiashara?
Ridhwan Kikwete ni kiunganishi kati ya Kikwete na ile Kampuni ya kina Masha ya Madini ule Mererani?
Ridhwan Kikwete alishiriki kufanikisha Kikwete kuchangiwa kwenye kampeni na yale makampuni ya madini kule Mererani?
Ridhwan Kikwete alisadia vipi IMMA kupewa tenda za uwakala na masuala ya mikataba ya makampuni makubwa ya madini? Je, ni wakati Masha akiwa naibu waziri wa wizara husika, kabla au baada?
Ridhwan Kikwete ana nafasi gani IMMA, ni mtumishi wa kawaida au ni partner?
Je- anafaa kuwa Rais wa Tanzania katika miaka ijayo ukimlinganisha na Zitto, Kitila, Mwanakijiji na Madela wa Madilu?
Asha
Gembe na Kasheshe
Nipeni majibu ya maswali hayo bathiiii, moja baada ya lingine. Nataka nirejeshe imani ya kijana. Niliwahi kumtaja siku nyingi huko nyuma kwamba namuona kama mmoja wa vijana wanaoweza kuwa marais wa Tanzania siku za usoni. Habari ya leo imenishangaza
Asha
Ni kweli jamani, hebu mnaojua mtueleze:
Ridhwan Kikwete amehusika na kashfa ya Richmond?
Ridhwan Kikwete aliajiriwa IMMA kabla ya kumaliza shule?
Ridhwan Kikwete alikwenda kusomeshwa Hull kwa mchango wa IMMA?
Ridhwan Kikwete aliwasaidia IMMA kwa namna yoyote katika suala la Deep Green?
Ridhwan Kikwete alifahamu chochote kuhusu Deep Green wakati wa kampeni?
Ridhwan Kikwete anaukaribu gani na Masha wa kibiashara?
Ridhwan Kikwete ni kiunganishi kati ya Kikwete na ile Kampuni ya kina Masha ya Madini ule Mererani?
Ridhwan Kikwete alishiriki kufanikisha Kikwete kuchangiwa kwenye kampeni na yale makampuni ya madini kule Mererani?
Ridhwan Kikwete alisadia vipi IMMA kupewa tenda za uwakala na masuala ya mikataba ya makampuni makubwa ya madini? Je, ni wakati Masha akiwa naibu waziri wa wizara husika, kabla au baada?
Ridhwan Kikwete ana nafasi gani IMMA, ni mtumishi wa kawaida au ni partner?
Je- anafaa kuwa Rais wa Tanzania katika miaka ijayo ukimlinganisha na Zitto, Kitila, Mwanakijiji na Madela wa Madilu?
Asha
Nipeni majibu ya maswali hayo bathiiii, moja baada ya lingine. Nataka nirejeshe imani ya kijana. Niliwahi kumtaja siku nyingi huko nyuma kwamba namuona kama mmoja wa vijana wanaoweza kuwa marais wa Tanzania siku za usoni. Habari ya leo imenishangaza
Asha
maswali yote anatakiwa kujibu Ridhwani,
Kusema ukweli nimekatishwa tamaa na wapinzani,Hawna jipya..Yaani wameniskitisha kuhsindwa katika jimbo la kiteto,wameksosa nini au Wamerogwa??na kuwasiadia mbinu zote wakashindwa
yaani this is too much na inaonesha aukilaza wao nitaendelea kukata nondo kama kawa ila kwa hili mmenihuzinisha sana,mmenisikasiisha sana.sasa mtashinda wapi??
Mie nitatetea yote mazuri,nina mapenzi na Chadema kama chama ila sina mapenzi na viongozi wake sababu wanakipeleka chama mahali tusipopatarajia,
maswali yote anatakiwa kujibu Ridhwani,
Kusema ukweli nimekatishwa tamaa na wapinzani,Hawna jipya..Yaani wameniskitisha kuhsindwa katika jimbo la kiteto,wameksosa nini au Wamerogwa??na kuwasiadia mbinu zote wakashindwa
yaani this is too much na inaonesha aukilaza wao nitaendelea kukata nondo kama kawa ila kwa hili mmenihuzinisha sana,mmenisikasiisha sana.sasa mtashinda wapi??
Mie nitatetea yote mazuri,nina mapenzi na Chadema kama chama ila sina mapenzi na viongozi wake sababu wanakipeleka chama mahali tusipopatarajia,