Je, reli hii ya kisasa inaweza kujengwa na kukamilika ikiwa katika ubora unaotakiwa?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Kama kweli hii reli ya kisasa inajengwa kwa mtindo huu wa kutafuta fedha huku mradi ukiwa teyari umeshaanza tunaweza kweli kukamilisha mradi huu ukiwa umekidhi viwango vya ubora unaotakiwa na kwa ukamilifu?

Je, ni kweli hata hivi vipande vinavyojengwa kwa awamu vina fungu la kutosha kwa kila kipande?

Japo ujenzi wa reli sio sawa na ujenzi wa nyumba; lakini je,kwa mwendo huu, hatuwezi kuja kujikuta tunafanana na mtu anaejenga nyumba kubwa kuliko uwezo alionao na matokeo yake anafanya finishing isiyolingana na hadhi ya nyumba anayoijenga?

Au ndio tutakuja kusema kulikuwa na upigaji ndio maana mradi haukakamilika kwa kiwango kinachotakiwa iwapo hali hii itakuja kujitokeza huko mbeleni?

Sitashangaa reli hii ikaja kuanza kutumika huku vitu vingi vikiwa bado havijajamilka

Nawaza tu.

Uzalendo kuhoji, kusifiia mapenzi.
 
Last edited:
hilo linawezekana mambo yakawa magumu tatizo hakuna sera na mipango mahsus ya utekelezaji
*stigilazi goji
*drimu laina
*salenda brigi
*hela ni yetu, mara tukopeshen.
Hhhhhh
 
Zitakamilika tuu mkuu.Mbona tunakuwa hatujiamini kwenye mambo yanayofanywa na serikali ya awamu ya 5.Ndege mikuwa mnaona kama miujiza sasa zinakuja.Na reli hivyohivyo zitakamilika tuu chini ya JPM.
 
Usihofu, miradi yote itakamilika hata kwa awamu ya utawala ujao. Hata SGR ilianzishwa na Kikwete huyu anaendeleza tu atafanya anachoweza kitamaliziwa na awamu ijayo. Ila awamu hii wamejitahidi hata kuianza.
 
Usihofu, miradi yote itakamilika hata kwa awamu ya utawala ujao. Hata SGR ilianzishwa na Kikwete huyu anaendeleza tu atafanya anachoweza kitamaliziwa na awamu ijayo. Ila awamu hii wamejitahidi hata kuianza.
Huu mwanzo unaanza kunipa mashaka japo reli wote tunaohitaji.
 
Kama kweli hii reli ya kisasa inajengwa kwa mtindo huu wa kutafuta fedha huku mradi ukiwa teyari umeshaanza tunaweza kweli kukamilisha mradi huu ukiwa umekidhi viwango vya ubora unaotakiwa na kwa ukamilifu?

Je, ni kweli hata hivi vipande vinavyojengwa kwa awamu vina fungu la kutosha kwa kila kipande?

Japo ujenzi wa reli sio sawa na ujenzi wa nyumba; lakini je,kwa mwendo huu, hatuwezi kuja kujikuta tunafanana na mtu anaejenga nyumba kubwa kuliko uwezo alionao na matokeo yake anafanya finishing isiyolingana na hadhi ya nyumba anayoijenga?

Au ndio tutakuja kusema kulikuwa na upigaji ndio maana mradi haukakamilika kwa kiwango kinachotakiwa iwapo hali hii itakuja kujitokeza huko mbeleni?

Sitashangaa reli hii ikaja kuanza kutumika huku vitu vingi vikiwa bado havijajamilka

Nawaza tu.

Uzalendo kuhoji, kusifiia mapenzi.
Isipo kamilika wewe unapata hasara gani?

Je wewe si ndio uliandika kuwa wamekurupuka kuanzisha reli huku watu baadhi ya mambo ya msingi ya kipewa kisogo
Je leo umegundua kuwa reli inaumhimu?

Je huoni ukijengwa chini ya kiwango ni mtaji wako kisiasa?
 
Hata Taj Mahal ilichukua miaka 21 kumalizika
Mbona mnakuwa na fikra za kurudi nyuma tu
Badala ya kuomba na kushawishi watu waisaidie miradi na kuwa waaminifu na kusonga mbele unatuvunja nguvu.

Penye nia pana njia hata ituchukue miaka 10 kumaliza itaisha kwa kiwango
 
Zitakamilika tuu mkuu.Mbona tunakuwa hatujiamini kwenye mambo yanayofanywa na serikali ya awamu ya 5.Ndege mikuwa mnaona kama miujiza sasa zinakuja.Na reli hivyohivyo zitakamilika tuu chini ya JPM.
Uzoefu unaonyesha kila watu wanapoonyesha negative attitude,ndo stone anajitahidi ili kuwaprove wrong,
Hawa wanaokosoa kwa namna nyingine wanasaidia sana kufanya mambo yaende,
Si unaona punde tutakuwa na mandege mengi na ya kutosha
 
Hata Taj Mahal ilichukua miaka 21 kumalizika
Mbona mnakuwa na fikra za kurudi nyuma tu
Badala ya kuomba na kushawishi watu waisaidie miradi na kuwa waaminifu na kusonga mbele unatuvunja nguvu.

Penye nia pana njia hata ituchukue miaka 10 kumaliza itaisha kwa kiwango
Muwe mnajipanga sio kwa style hii.
 
Isipo kamilika wewe unapata hasara gani?

Je wewe si ndio uliandika kuwa wamekurupuka kuanzisha reli huku watu baadhi ya mambo ya msingi ya kipewa kisogo
Je leo umegundua kuwa reli inaumhimu?

Je huoni ukijengwa chini ya kiwango ni mtaji wako kisiasa?
Hii reli kwa sasa itakuwa na faida kijaamii zaidi kuliko kiuchumi.Hivyo ndivyo nilivyowahi kisema.
 
Hii reli kwa sasa itakuwa na faida kijaamii zaidi kuliko kiuchumi.Hivyo ndivyo nilivyowahi kisema.
Sasa kwa uelewa wako unafikiri jamii ikipata huduma bora itashindwa kutengeneza uchumi?


Maana jamii inayo pata huduma safi ndio inayo weza kutengeneza uchumi imara
 
Kama kweli hii reli ya kisasa inajengwa kwa mtindo huu wa kutafuta fedha huku mradi ukiwa teyari umeshaanza tunaweza kweli kukamilisha mradi huu ukiwa umekidhi viwango vya ubora unaotakiwa na kwa ukamilifu?

Je, ni kweli hata hivi vipande vinavyojengwa kwa awamu vina fungu la kutosha kwa kila kipande?

Japo ujenzi wa reli sio sawa na ujenzi wa nyumba; lakini je,kwa mwendo huu, hatuwezi kuja kujikuta tunafanana na mtu anaejenga nyumba kubwa kuliko uwezo alionao na matokeo yake anafanya finishing isiyolingana na hadhi ya nyumba anayoijenga?

Au ndio tutakuja kusema kulikuwa na upigaji ndio maana mradi haukakamilika kwa kiwango kinachotakiwa iwapo hali hii itakuja kujitokeza huko mbeleni?

Sitashangaa reli hii ikaja kuanza kutumika huku vitu vingi vikiwa bado havijajamilka

Nawaza tu.

Uzalendo kuhoji, kusifiia mapenzi.
Fedha tunazo!
 
Isipo kamilika wewe unapata hasara gani?

Je wewe si ndio uliandika kuwa wamekurupuka kuanzisha reli huku watu baadhi ya mambo ya msingi ya kipewa kisogo
Je leo umegundua kuwa reli inaumhimu?

Je huoni ukijengwa chini ya kiwango ni mtaji wako kisiasa?
Isipo kamilika wewe unapata hasara gani?
atakuja kukujibu mwanao miaka ya mbeleni.
 
Back
Top Bottom