RRONDO JF-Expert Member Jan 3, 2010 51,719 107,833 Jul 28, 2018 #21 Wewe jamaa una matatizo makubwa sana.
RRONDO JF-Expert Member Jan 3, 2010 51,719 107,833 Jul 28, 2018 #22 Lengo kuu la kuishi ni jamii iishi vizuri. Salary Slip said: Hii reli kwa sasa itakuwa na faida kijaamii zaidi kuliko kiuchumi.Hivyo ndivyo nilivyowahi kisema. Click to expand...
Lengo kuu la kuishi ni jamii iishi vizuri. Salary Slip said: Hii reli kwa sasa itakuwa na faida kijaamii zaidi kuliko kiuchumi.Hivyo ndivyo nilivyowahi kisema. Click to expand...
Towned JF-Expert Member Aug 7, 2018 226 300 Aug 11, 2018 #23 Hata fly over TAZARA tuliwaza hivyo ila kila tunachowaza tofauti tunapata matokeo tofauti.
parkerelizabeth Member Jun 28, 2018 31 16 Aug 21, 2018 #24 wanajenga kwa hatua tofauti., iwezekanavyo, vitu ni vigumu kwa mipango ya utekelezaji wa sera