Kwa kawaida hakuna mtu anayejua Kila kitu ndiyo maana pakawepo na matabaka ya viongozi mfano mawaziri ni tabaka la juu la viongozi.
Hoja yangu ipo hapa nani? Alimshauri Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan wazo la TOZO Kwenye account za benk za watu.
Aliyemshauri naamini ni mtaalamu wa maswala ya fedha hasa eneo la KODI.Je mtaalamu huyo hakuona kabisa sio halali kukata hela/ fedha ya mtu bila kufanya naye kazi au biashara mfano watumishi wa umma wanalipa PAY as you earn hii ni Kodi Kwa sababu wamefanya kazi.
Je, Mtu akienda kutoa fedha ATM kwa nini akatwe fedha ya tozo na serikali ili hali amekatwa Hela ya service?(huduma) na Benk yenyewe mfano NMB
Mhe Rais kuwa macho Kuna watu wanakuhujumu mchana kweupe maana wao ndo wataalamu, chukua hatua.
Hoja yangu ipo hapa nani? Alimshauri Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan wazo la TOZO Kwenye account za benk za watu.
Aliyemshauri naamini ni mtaalamu wa maswala ya fedha hasa eneo la KODI.Je mtaalamu huyo hakuona kabisa sio halali kukata hela/ fedha ya mtu bila kufanya naye kazi au biashara mfano watumishi wa umma wanalipa PAY as you earn hii ni Kodi Kwa sababu wamefanya kazi.
Je, Mtu akienda kutoa fedha ATM kwa nini akatwe fedha ya tozo na serikali ili hali amekatwa Hela ya service?(huduma) na Benk yenyewe mfano NMB
Mhe Rais kuwa macho Kuna watu wanakuhujumu mchana kweupe maana wao ndo wataalamu, chukua hatua.