Je Putin ananza kujitanua?

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Bado nafasi ipo ya kuimarisha tena Venezuela.Hata Syria alichelewa kwenda,lakini mara tu baada ya kuingia pale Syria hatimaye matunda yanaonekana.
 
Mkuu kwan unadhani Norway walijuaje kwamba hizo ndege zipo angan? Sembuse kujua izo sokhoi
sasa hata kama zungekuwa zinaenda kwake unahisi wangefanya nini? maana navyojua mm lzm sukho zilikuwa zinafatilia game
 
Warusi ni viburi huwa wanawafanyia watu udukuzi then wakimaliza wanajionesha alafu wanasepa zao ata us walishawai kufanyiwa kitu kama hicho then wakatumiwa video nyambizi ikisepa
Mkuu acheni kutujaza lini
 
Urusi angekuwa na hela za kumuwezesha kufinance ambitions zake mwenyewe za nguvu za kijeshi USA ingeipata fresh, unfortunately they are not meant to have money.

China has the money, ni hatari zaidi kwa China kuendelea kuwa na hela, sababu wataweza kurealize ambitions zao kuwa leaders on two fronts, economically na Militarily
china na urusi apo kila mtu ana malengo yake wote kwa pamoja wanamuona us kama adui yao so lazima waungane china anataka kuwa na jeshi imara coz uchumi yupi vzr pia urusi anamtumia china ili kukuza uchumi wake maana kijeshi tayari yupo vzr
 
Mkuu kwan unadhani Norway walijuaje kwamba hizo ndege zipo angan? Sembuse kujua izo sokhoi
labda hazikuwepo kweli lkn Tu zinakuwaga na back up ya fighter jet sasa kama hazikuwepo basi palikuwa na namna nyingine ya kuzilinda coz najua urusi wasingeruhusu Tu zao kukamatwa na norway ata kwa nusu saa

ili teknolojia yao isiibiwe kingine inaonekana urusi haikutoa taarifa ya kuwa hizo Tu zitapita norway sasa nikujiamini gan huko

swala la nyambizi za urusi kuwa zinaonekana zikiondoka pwani ya usa sio cha kubishana urusi huwa wanazitisha ata meli za us kwenye maji ya kimataifa kwa kuzipitishia fighter jet pembeni alafu zikiwa chini sana (nenda you tube usibitishe mkuu)
 
Usiangalie Kula zilisha pita.angalia Hali ya marekani saivi kama una bisha trump anapita tena 2020
Mtazamo wako hauendani kabisa na wamarekani wengi waliompigia kura Clinton, ukitoa ile college votes ya wachache.Ingia CNN uone mtazamo wa wananchi wa Marekani.
 
Usiangalie Kula zilisha pita.angalia Hali ya marekani saivi kama una bisha trump anapita tena 2020
Mtazamo wako hauendani kabisa na wamarekani wengi waliompigia kura Clinton, ukitoa ile college votes ya wachache.Ingia CNN uone mtazamo wa wananchi wa Marekani.
 
Urusi sio super power kijeshi, They do not have Money, huko kujitanua unakoona anafanya urusi hagharamii yeye analipwa, mataifa machache sana yanaweza kununua mabavu ya urusi.

Urusi angekuwa na hela za kumuwezesha kufinance ambitions zake mwenyewe za nguvu za kijeshi USA ingeipata fresh, unfortunately they are not meant to have money.

China has the money, ni hatari zaidi kwa China kuendelea kuwa na hela, sababu wataweza kurealize ambitions zao kuwa leaders on two fronts, economically na Militarily

Ni kweli, China anaitumia Russia kujikuza kijeshi, ananunua. Trump anawadhibiti wachina kujikuza zaidi kiuchumi, na atafanikiwa sababu anajua Marekani (kwa ujinga wake) ndio kaifikisha hapo China kwa kushindwa kuiguide private sector in the best interest of the USA, akifanikiwa hilo anakuwa ameslow down ambitions zao za kijeshi.

Urusi anatia huruma, angeona USA inavyolalamika leo kwa kuwaendekeza wachina angejiuliza mara mbili mahusiano yake ya kijeshi na China.
 
Hakika.Umenena mkuu.Ni mara nyingi tuu ndege za Russia zinazifukuzia meli za kivita za USA kwa kupita karibu mno na meli hizo kitendo ambacho USA kulalamika
 
Afu marekani watakuwa wame zubaa mdaa wote huo utani wakuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…