Je Putin ananza kujitanua?

Je Putin ananza kujitanua?

IMG_8958.JPG
 
Urusi ni Putin na Putin ni Urusi.Siku Putin akifariki au kuzeeka Urusi kwisha habari yake.One man Show!
 
Katika kile kinachoonekana mazoezi ya pamoja kati ya Venezuela na Russia,Putin amezituma Tu-160 strategic bombers kwa ajili ya kazi hiyo.Madege hayo yaliyokuwa yakifuatiliwa na ndege vita za Norway F-16 yalivuka bahari ya Atlantic yakisafiri umbali wa kilomita 10000 pasipo kufanyiwa refueling na kifanikiwa kutua Caracas Venezuela salama kabisa.Madege hayo yana uwezo wa kubeba vichwa vya nuklia.YANGU MACHO NA MASIKIO.View attachment 964314View attachment 964315View attachment 964316
safi sana putin. Wataiti hivyo hivyo. Tumewachoka. wamemuua sadam bila hatia, wamemuua ghadafi, syria huko wamevuruga, Bongo hapa wanataka kuleta habari zao za kizushi eti haki za binadam
 
Taifa letu lime base wapi ...America na washirika wake au kwa Putin
nafikiri Russia tuna urafiki nao tangu enzi za zamani. Na kwa Jembe Magufuri najua atabase sana kwa russia kuliko USA. Urafiki wa kimarekani ni wa kinafiki sana
 
Venezuela wanahitaji namna ya kujikwamua kutoka kwenye Hyperinflation inayowakabili. Hiyo midege haitawasaidia kukidhi lengo hilo.

Russia ni ile ile sawa na zile zama za USSR ya akina Nikita Khrushchev na Leonid Brezhnev ya "Gunboat Diplomacy". Hawanaga msaada wowote wa maana wa kuweza kumsaidianao mtu. Warussia ni bure kabisa.

Zama hizo walipigika kiasi kwamba chakula kilikuwa shida na nguo vile vile, walikuwa wakisafiri kwenda Ulaya Magharibi kununua Jeans na hata Toilet Paper ilikuwa ni shughuli kupatikana.
 
Ninaamini sana kwamba, Baada ya President Trump kumaliza Trade deals na Japani, EU, na wachina atakuwa pia amekamilisha hidden agenda yake ya kuwakwaza wachina kufikia ambitions zao za kuwa Military Super Power ataishangaza Dunia kwa atakachomfanya Putin.
 
Ninaamini sana kwamba, Baada ya President Trump kumaliza Trade deals na Japani, EU, na wachina atakuwa pia amekamilisha hidden agenda yake ya kuwakwaza wachina kufikia ambitions zao za kuwa Military Super Power ataishangaza Dunia kwa atakachomfanya Putin.
trump kwa putin ni mtoto mdogo sana,wao ndio wamemweka madarakani,na wana uwezo wa kumuua wakitaka,,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom