Je Putin ananza kujitanua?

Je Putin ananza kujitanua?

hata mimi nilitaka kuuliza,na hizo f16 ina maana zilienda mpaka venezuela?,zingezilipua angani si ingekuwa big loss kwa russia?fafanua vizuri.
Nahisi Norway alifikiri labda hizo ndege zilikuwa zinaelekea kwake,kwa hiyo akaamua kuzituma F-18 zake kwa ajili ya kuzifuatilia hizo T-160 zilizokuwa zikielekea Venezuela.Akaja kugundua kumbe zilikuwa na safari zake,kwa hiyo akaachana nazo.
 
Nahisi Norway alifikiri labda hizo ndege zilikuwa zinaelekea kwake,kwa hiyo akaamua kuzituma F-18 zake kwa ajili ya kuzifuatilia hizo T-160 zilizokuwa zikielekea Venezuela.Akaja kugundua kumbe zilikuwa na safari zake,kwa hiyo akaachana nazo.
sasa hata kama zungekuwa zinaenda kwake unahisi wangefanya nini? maana navyojua mm lzm sukho zilikuwa zinafatilia game
 
eti mkuu ww umeonaje hili game
Hili game si la kispoti spoti.Unakumbuka nyambizi moja ya Russia ilionekana kwenye fukwe za bahari ya nchi mojawapo ya Scandinavia kama sikosei Sweden.Cha ajabu jamaa walitumia zana zao zote kuitafuta ili waipate mara baada ya kuishitukia lakini hawakuiona tena.Ni kama mwaka na kitu hivi hili tukio lilibamba saana.Haaahaaaa.Sipati picha Norway angefanyaje kama yale Madudu yangekuwa yanaelekea kwake.
 
Hili game si la kispoti spoti.Unakumbuka nyambizi moja ya Russia ilionekana kwenye fukwe za bahari ya nchi mojawapo ya Scandinavia kama sikosei Sweden.Cha ajabu jamaa walitumia zana zao zote kuitafuta ili waipate mara baada ya kuishitukia lakini hawakuiona tena.Ni kama mwaka na kitu hivi hili tukio lilibamba saana.Haaahaaaa.Sipati picha Norway angefanyaje kama yale Madudu yangekuwa yanaelekea kwake.
Warusi ni viburi huwa wanawafanyia watu udukuzi then wakimaliza wanajionesha alafu wanasepa zao ata us walishawai kufanyiwa kitu kama hicho then wakatumiwa video nyambizi ikisepa
 
Warusi ni viburi huwa wanawafanyia watu udukuzi then wakimaliza wanajionesha alafu wanasepa zao ata us walishawai kufanyiwa kitu kama hicho then wakatumiwa video nyambizi ikisepa
.Kwa hiyo wanazishambulia zana zao kwa kuzidukua ili kuharibu mfumo wa mawasiliano?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom