Je, Polisi wakiua ni sawa?

Je, Polisi wakiua ni sawa?

'Amani haiji ila kwa ncha ya upanga'. Hawa jamaa tunaambiwa walikuwa katika harakati za kufanya ujambazi huko Mbagala na yalikuwa ni mapambano kati ya polisi na majambazi. Ninadhani kwako wewe polisi ua raia mwema kuwawa ni jambo jema kuliko jambazi. 'Dawa ya moto ni moto'
 
acha bwebwe afu futa kauli polisi kazi yake ni kulinda raia na mali zake sio kuua na kupora

kama hujui mambo ya kijeshi kaa kimya.. Sasa kama unadhan polisi hawezi kuua mnyoshee siraha yoyote ile hapo ndio utaona kama anaua au hawezi kuua
 
Mahakamani kuna armoury??!!! Kuna mtu anajifunza target kule??!! Kuna mtu wa muzzle velocity??!!
Unajua bullet proof vest ina uzito na joto kiasi gani??!!! Wanaume wanashinda nazo hizo miilini nyie mmevaa body tights mnaenjoy tu. . . . .

Jambazi wa silaha yake chuma tu. . . . Haina mjadala

mkuu umeeleza vya kutosha ww utakuwa kwenye system
haina haja ya kubishana na mwanamke..

Huyo jamaa ni sawa na mwanamke anapiga kelele ilhali hana uwezo wa wowote wa kujitetea
 
Hivi kwenye matukio kama haya, Polisi kama hakupendi, si atatumia mwanya na kusema Intelijensi ya Polisi iligundua na wewe ni jambazi. Walipokuja kukukamata ukapinga na wamekuralua risasi.

Kilichomtoa Nchimbi Uwaziri ni uzembe huo huo wa kujichukulia madaraka mkononi.

Wanaodhani Polisi kuuawa inauma, basi wajiulize kama nduguyo akibambikiwa kesi na wamlambe risasi.

Kubambikiwa kesi inajulikana sana nchi hii. Tundu Lissu alilisema bungeni....

https://www.youtube.com/watch?v=jkkusMZ1Aes

Mwangosi alikuwa Mwandishi wa habari na siyo Jambazi. Aliuawa kwa amri ya Kamuhanda na Kamuhanda wakampandisha cheo kwa kazi nzuri ya kumuuwa Mwangosi.....

tashwila-ya-kukatisha-tamaa-ya-mauaji-ya-mwandishi-wa-habari.jpg

polisi hana mamlaka hiyo mkuu hii ni ichi yenye kutii sheria na taratibu sasa kama tutauana kiivo sijui
 
Naona tangu jana hakuna hata anayelaani mauaji ya walioitwa majambazi jana si raia wala si media wala si viongozi wa kisiasa na dini.

Polisi hana mamlaka wala reseni ya kutoa uhai wa mtu.

Pia tuseme tu kuwa inaonekana walifanya makusudi kulipiza kisasi na visasi haviishi.

Kama polisi walidhibitisha kwamba waliokamatwa ndo waliohusika na ule uharamia, basi wauawe instantly!! Watu kama hawa kuwaonea huruma ni kupoteza muda. Tena polisi walitakiwa wasitoe taarifa, wamalize game kimya kimya na maisha yaendelee!
 
Naona tangu jana hakuna hata anayelaani mauaji ya walioitwa majambazi jana si raia wala si media wala si viongozi wa kisiasa na dini.

Polisi hana mamlaka wala reseni ya kutoa uhai wa mtu.

Pia tuseme tu kuwa inaonekana walifanya makusudi kulipiza kisasi na visasi haviishi.

Mkuu naona unatetea majambazi ......... Tukufikiriaje
 
Nakubaliana na wewe na ndio maana huwezi kusikiliza kesi inayokuhusu. Hutakuwa neutral. Ndio maana kesi hiyo anapewa mtu mwingine! Hivyo hivyo, polisi wasifanye hivyo, hawajafundishwa hivyo. Tukiruhusu hivyo, watatuua wengi kwa dhana tu!

Kuua ni dhambi na kama umekusudia! Ndio maana hata kama ni kwa bahati mbaya tu toba lazima uifanye!
 
Hivi majambazi kuuwa polisi ni sawa? Hivi unajua hao unao walilia waliuwawa kwenye mazingira gani? Hivi unajua walio uwawa walikuwa wana pambana na askari tena kwa silaha? Hivi umeshindwa kujiuliza kwanini wengine hawakuuwawa kama hao?
Hivi mtu anaye rusha risasi unataka na yeye arushiwe karanga? Hivi ungekuwa polisi mtu anaye kurushia risasi wewe unge fanya nini?
Hata kama ni ndugu yako wacha atandikwe risasi kama kaamua kuingia kwenye vikundi vya uhalifu hayo ndio matunda yake!

Mnacho takiwa kufanya ni kukaa na ndugu au wadogo zenu kuwaeleza wazi kuwa uhalifu haulipi watakufa tena kwa kutandikwa risasi maana hawatovumiliwa watu wanao hatarisha amani za raia wema!

Mimi nalipongeza sana jeshi la polisi kwa kuwadhibiti hawa na kuwauwa maana bila hivyo wange wauwa wao..!
Hivyo tukae na ndugu zetu tuwambie kuwa ujambazi haulipi watakufa Kabisa na watamalizwa!

Ukiona nduguyo anajiingiza kwenye ujambazi ujue umeshindwa kutimiza wajibu wako anza kulia kabisa maana hatovumiliwa atauliwa tuu...!

Hongera sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri!
Kuwa objective! hata kama ni gaidi wa kutupwa, as long as amesurrender, huna ruhusu ya kumuua. Sawa walivamia kituo na kuua, lakini walipokwenda kuwakamata wakanyanyua mikono juu! Why kill them? Polisi imekuwa mahakama kutoa hukumu?

Nakubaliana na wewe na ndio maana huwezi kusikiliza kesi inayokuhusu. Hutakuwa neutral. Ndio maana kesi hiyo anapewa mtu mwingine! Hivyo hivyo, polisi wasifanye hivyo, hawajafundishwa hivyo. Tukiruhusu hivyo, watatuua wengi kwa dhana tu!

acha bwebwe afu futa kauli polisi kazi yake ni kulinda raia na mali zake sio kuua na kupora

kila idara iachiwe kazi yake ifanye hapo tutafika lkn kwa.mwendo huu hakuna kitu

natetea raia sio majambaz wew sio hakimu hadi useme hivo
 
Hivi majambazi kuuwa polisi ni sawa? Hivi unajua hao unao walilia waliuwawa kwenye mazingira gani? Hivi unajua walio uwawa walikuwa wana pambana na askari tena kwa silaha? Hivi umeshindwa kujiuliza kwanini wengine hawakuuwawa kama hao?
Hivi mtu anaye rusha risasi unataka na yeye arushiwe karanga? Hivi ungekuwa polisi mtu anaye kurushia risasi wewe unge fanya nini?
Hata kama ni ndugu yako wacha atandikwe risasi kama kaamua kuingia kwenye vikundi vya uhalifu hayo ndio matunda yake!

Mnacho takiwa kufanya ni kukaa na ndugu au wadogo zenu kuwaeleza wazi kuwa uhalifu haulipi watakufa tena kwa kutandikwa risasi maana hawatovumiliwa watu wanao hatarisha amani za raia wema!

Mimi nalipongeza sana jeshi la polisi kwa kuwadhibiti hawa na kuwauwa maana bila hivyo wange wauwa wao..!
Hivyo tukae na ndugu zetu tuwambie kuwa ujambazi haulipi watakufa Kabisa na watamalizwa!

Ukiona nduguyo anajiingiza kwenye ujambazi ujue umeshindwa kutimiza wajibu wako anza kulia kabisa maana hatovumiliwa atauliwa tuu...!

Hongera sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri!

haya majamaa yanakoroma hapa kumbe ndg zao waliouwawa ndio yale majambazi?
Potelea mbali acha yauwawe tu. Wanafuga mitoto mijambaz
 
Naona tangu jana hakuna hata anayelaani mauaji ya walioitwa majambazi jana si raia wala si media wala si viongozi wa kisiasa na dini.

Polisi hana mamlaka wala reseni ya kutoa uhai wa mtu.

Pia tuseme tu kuwa inaonekana walifanya makusudi kulipiza kisasi na visasi haviishi.

wewe ----- kweli unatetea majambazi?!
Nani alaani wakat wale ni waharifu?

Kumbe una ndg zako wezi?
 
Na wengine sio ndugu zao tu, wengiene hao hao wenyewe ni majambazi.
 
natetea raia sio majambaz wew sio hakimu hadi useme hivo
acha ulimbukeni we nyang'au unatetea raia wapi hao, inaonekana na wewe ni muhusika na imekuuma sana mbona polisi akiuawa hatuoni mkilizungumzia hilo. na unatetea kama nani? unajua sheria wewe unaelewa namna tukio lilivyokuwa? ma tacore eti oooohhh acha shobo wewe.
 
Kama imekuuma sana Police kuua majambazi kale malimao,usilete siasa kwenye mambo ya usalama,hizo silaha zingemuua hata baba ako mzazi au nduguyo bila hatia nashangaa povu linakutoka kutetea wahalifu.
 
Mkuu kilght hoja yako imekaa kichochezi, japo hakuna sehemu yoyote ambayo inazuia kujadili hoja 'chochezi' kama hii.
Nadhani tuna mfumo mzuri kama nchi ambapo kuna mahakama, upelelezi, ulinzi jeshi (jwtz), ulinzi shirikishi nk. Nakuwa na mashaka pale ninaposikia wale walioanzisha hii mifumo wakikiri kuwa mtu aliyehukumiwa kifo miaka 30 baadae wanaproove kuwa hakuwa na makosa. Hali ya usalama wa dunia imebadilika sana sasa hivi na kama tulivyoona na kusikia pale Sitakishari wale 'majambazi' waliwafanyia timing askari na matokeo yake wakawaua hivyo ni sawa na askari nao kuwafanyia timing majambazi.
Lakini kama tutaenda kwa staili hii mwisho wake utakuwa ni nini!!?? Mashaka yangu yanaongezwa na kichwa hiki kwenye gazeti ambalo liko karibu na serikali pale linapoandika kuwa 'wamelipiza kisasi'.
Ni wachache sana tutaweza kutafakari hatua hizi za awali kwenye ukubwa wa hili tatizo lakini haiashirii kitu kizuri huko mbeleni!
uhuru1.jpg
 
Pia mwananchi mwingine ambaye sasa hatuwezi kujua kama ni 'raia mwema' ama 'raia mbaya' kapost hii kitu na naipost kama alivyoiweka. Vita hii inahitaji kupiganwa na wananchi zaidi ya milioni 44,999,000 kama kweli tuko watu 45,000,000 na sio vita ya jeshi la polisi pekee maana ni ngumu!
View attachment 269928
 
Naona tangu jana hakuna hata anayelaani mauaji ya walioitwa majambazi jana si raia wala si media wala si viongozi wa kisiasa na dini.

Polisi hana mamlaka wala reseni ya kutoa uhai wa mtu.

Pia tuseme tu kuwa inaonekana walifanya makusudi kulipiza kisasi na visasi haviishi.

Na wewe ni jambazi pia inaonekana
 
Sasa mkuu Polisi anapambana na jambazi ambaye nae anafyatua risasi alaf unataka askari alenge miguu au amtupie nyavu amnase kweli!! Kwanza sijaona maali ulilaani mauaji ya polisi.
 
We utakuwa jambazi tu embu nionyeshe post au mahali wewe uliyolaani mauaji ya stakishari
 
Back
Top Bottom