ngivingivi
Senior Member
- Mar 29, 2013
- 189
- 109
Alafu kuwa makini na unachopost watu bado wanamajonzi na wahusika hawajapatikana wote
na vp aliyeuwawa jana kama alikuwa nduguyo mtu ni mtu awe askari au mpiga debe kila mmoja ana dhaman kwenye familia yake na taifa pia
hili ndio tatizo la kuishi nchi masikini iliyojaa wajinga wengi. mharifu ana haki ya kuhukumiwa mahakamani na sio mikononi mwa polisi. na tanzania ukiuwawa na polisi alaf polisi wakisema alikua jambazi au gaidi wanajua wazi wananchi ni wapumba.vu hawata fuatilia. pamoja na mauaji ya wale wafanyabiashara wakati wa zombe bado watu hawajifunzi kua polisi hawako perfect hivyo wanaweza kuua watu kinakosa. siku wakiuwa ndugu zenu ndipo mtajifunza.
Hivi majambazi kuuwa polisi ni sawa? Hivi unajua hao unao walilia waliuwawa kwenye mazingira gani? Hivi unajua walio uwawa walikuwa wana pambana na askari tena kwa silaha? Hivi umeshindwa kujiuliza kwanini wengine hawakuuwawa kama hao?
Hivi mtu anaye rusha risasi unataka na yeye arushiwe karanga? Hivi ungekuwa polisi mtu anaye kurushia risasi wewe unge fanya nini?
Hata kama ni ndugu yako wacha atandikwe risasi kama kaamua kuingia kwenye vikundi vya uhalifu hayo ndio matunda yake!
Mnacho takiwa kufanya ni kukaa na ndugu au wadogo zenu kuwaeleza wazi kuwa uhalifu haulipi watakufa tena kwa kutandikwa risasi maana hawatovumiliwa watu wanao hatarisha amani za raia wema!
Mimi nalipongeza sana jeshi la polisi kwa kuwadhibiti hawa na kuwauwa maana bila hivyo wange wauwa wao..!
Hivyo tukae na ndugu zetu tuwambie kuwa ujambazi haulipi watakufa Kabisa na watamalizwa!
Ukiona nduguyo anajiingiza kwenye ujambazi ujue umeshindwa kutimiza wajibu wako anza kulia kabisa maana hatovumiliwa atauliwa tuu...!
Hongera sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri!
Hawa walio uwawa hawaku surrender walikuwa wanapambana na askari kwa kurusha risasi? walio surrender hawakuuuwawa ndio maa kuna watano wamekamatwa bila kuuwawa!Rutashobolwa, what does the law say? Ukikutana na jambazi even if he surrenders, should you kill him? Nijibu? Rule of law should operate always!
wewe ----- kweli unatetea majambazi?!
Nani alaani wakat wale ni waharifu?
Kumbe una ndg zako wezi?
kila idara iachiwe kazi yake ifanye hapo tutafika lkn kwa.mwendo huu hakuna kitu
Kuwa objective! hata kama ni gaidi wa kutupwa, as long as amesurrender, huna ruhusu ya kumuua. Sawa walivamia kituo na kuua, lakini walipokwenda kuwakamata wakanyanyua mikono juu! Why kill them? Polisi imekuwa mahakama kutoa hukumu
swala sio jambazi swala hapa ni raia wa tz