njang'et
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 758
- 227
polisi hana mamlaka hiyo mkuu hii ni ichi yenye kutii sheria na taratibu sasa kama tutauana kiivo sijui
Naaomba siku moja auliwe mwanao, mkeo, baba yako na mama yako alafu muuaji akamatwe umtetee kama unavyowatetea hao ndgu zako waliopiga stakishari