Ni kijana mkoani Mara ambaye anashikiliwa na jeshi la polis baada ya kutokea mauaji ya aliyekuwa mke wake
Iko hivi,Kijana baada ya kushindana kuishi na mke wake ,walifikisha suala hilo kwa mtendaji wa kijiji ambapo mwanamke aliapa kuwa hataweza kamwe kuishi na huyo mume wake ni bora akaishi mwenyewe
Baada ya hapo Kijana aliendelea na maisha yake huku mwanamke akichukuliwa na Kijana mwingine kama hawara
Kijana aliyemchukua huyo mwanamke alimpeleka mjini kumpangishia na baada ya siku kadhaa Kijana akiwa anarudi kwa mpenzi wake huyo baada ya shughuliza za mchana alikutana na mwanaume mwingine ndani na huyu Kijana alikasirika na kuanza ugomvi uliopelekea mwanamke kupoteza maisha baada ya kunigwa shingo
Hata hivyo Kijana huyo alikimbia,kesi ikaja mwanamke azikwe wapi
Nyumbani kwa mwanamke wanadai binti yao alikuwa alishaolewa na hivyo azikwe alikokuwa ameolewa na mila za kabila hilo haziruhusu mwanamke aliyekwisha olewa azikwe kwao na huku ndugu wa mwanaume wa kwanza wanakataa kuwa huyo mwanamke alikuwa alisha achika hivyo hawezi kuzikwa nyumbani hapo,
Mvutano huo ulipelekea aliyekuwa mume ashikiliwe na polisi wakimshinikiza akubali mwili wa marehemu uzikwe kwake kwa hoja kuwa alikuwa mke wake hapo nyuma ,
Mwili wa marehemu upo mochwari kwa siku 5,hakuna mwafaka unaopatikana wapi azikwe marehemu
NB: Nawashauri wanawake ukiolewa tulia,mnaenda kujitafutia vifo wenyewe,badala ya kutulia na waume zenu,mnawapa taabu watu mwili wa marehemu uzikwe wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko hivi,Kijana baada ya kushindana kuishi na mke wake ,walifikisha suala hilo kwa mtendaji wa kijiji ambapo mwanamke aliapa kuwa hataweza kamwe kuishi na huyo mume wake ni bora akaishi mwenyewe
Baada ya hapo Kijana aliendelea na maisha yake huku mwanamke akichukuliwa na Kijana mwingine kama hawara
Kijana aliyemchukua huyo mwanamke alimpeleka mjini kumpangishia na baada ya siku kadhaa Kijana akiwa anarudi kwa mpenzi wake huyo baada ya shughuliza za mchana alikutana na mwanaume mwingine ndani na huyu Kijana alikasirika na kuanza ugomvi uliopelekea mwanamke kupoteza maisha baada ya kunigwa shingo
Hata hivyo Kijana huyo alikimbia,kesi ikaja mwanamke azikwe wapi
Nyumbani kwa mwanamke wanadai binti yao alikuwa alishaolewa na hivyo azikwe alikokuwa ameolewa na mila za kabila hilo haziruhusu mwanamke aliyekwisha olewa azikwe kwao na huku ndugu wa mwanaume wa kwanza wanakataa kuwa huyo mwanamke alikuwa alisha achika hivyo hawezi kuzikwa nyumbani hapo,
Mvutano huo ulipelekea aliyekuwa mume ashikiliwe na polisi wakimshinikiza akubali mwili wa marehemu uzikwe kwake kwa hoja kuwa alikuwa mke wake hapo nyuma ,
Mwili wa marehemu upo mochwari kwa siku 5,hakuna mwafaka unaopatikana wapi azikwe marehemu
NB: Nawashauri wanawake ukiolewa tulia,mnaenda kujitafutia vifo wenyewe,badala ya kutulia na waume zenu,mnawapa taabu watu mwili wa marehemu uzikwe wapi
Sent using Jamii Forums mobile app