Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 327
- 376
Habari wana JF
Nimepaka oil ya petrol ambayo sio nyeusi sana kwenye kenchi zangu, ila nimekuwa na wasiwasi kama zitazilinda kenchi dhidi ya mchwa au inatakiwa oil yenye weusi mwingi kama ya diesel?
Naomba ushauri wako tafadhari.
Nimepaka oil ya petrol ambayo sio nyeusi sana kwenye kenchi zangu, ila nimekuwa na wasiwasi kama zitazilinda kenchi dhidi ya mchwa au inatakiwa oil yenye weusi mwingi kama ya diesel?
Naomba ushauri wako tafadhari.