kwa mara ya pili katika muda wa wiki moja mgombea moja wa Uraisi ametumia jina la Raisi wa merekani ili kuvutia wapiga kura, mwanzo ni pale alitumia hotuba ya obam kwenye millinium goal challenge meeting, na sasa hivi ni hili la misaada bila kuzingatia zaidi ya hapo kwamba hiyo misaada sio ya kwake binafsi bali ni kupitia mikataba iwe ya nchi moja moja bilatteral au ya nchi nyingi multi-latteral na zaidi ya hapo hata akija lipumba/slaa misaada hiyo itatoka tu.