Je, nitumie uungwana au na mimi nilipize kisasi?

Je, nitumie uungwana au na mimi nilipize kisasi?

Kumbe na wewe ni popoma namna hii?
(Japo najua hii ni chai) ila huo muda wa kuhesabu posts za kura ya ndio au hapana jamaa atapiga simu kwa mtandao husika na kurudishiwa pesa zake. (Hakuna sehemu uliyosema umeshatoa hizo pesa).
Anyways.....asante kwa chai japo ya leo chungu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !!!!
 
Sasa hizi comments umeweka kikomo cha muda gani ili ufanye majumuisho?any way mrudishie hela zake.
 
Kuna Kijana Mmoja Mwezi Uliopita Tu KASABABISHA DEMU WANGU KUNIACHA Baada Ya JAMAA KUGONGANA Na Mimi Lodge Nikitoka KUFANYA MAPENZI NA " MCHEPUKO " Wangu Ambapo Kumbe ALINIREKODI Wakati Natoka Chumbani Na Yule Demu Bila Mimi KUSHTUKA Kisha Akamtumia DEMU Wangu Na Niliporudi Tu Ghetto " KIKANUKA " Na Demu KUNIAMBIA Kuwa HANITAKI Tena Na Sasa Tumeshaachana Na NILIHUZUNIKA Na Bado Hadi Sasa NAHUZUNIKA Lakini DEMU Kasema HARUDI TENA.

Katika Chunguza Yangu Baadae Nikaja Kugundua Kuwa Kumbe Yule Jamaa Sasa Ndiyo " ANAMBANDUA " Huyo X Wangu Na Imefikia Kipindi Hadi Jamaa ANATAMBA Kwa MASELA Kitaani Kuwa AMENIACHANISHA NA DEMU WANGU NA SASA ANATEMBEA NAE Na Maneno Mengine Kibao Ya SHOMBO Dhidi Yangu.

Sasa Ndugu Zanguni Muda Si Mrefu Nimemwona Jamaa AMEPITA Hapa Kitaani Akiwa Na Mgonjwa Katika Gari Na Inasemekana Kuwa Ni Mama Yake MZAZI Anaumwa Sana Na Yupo Hoi Na Sijui Jamaa KACHANGANYIKIWA au La Kwani Kuna HELA Kama Shilingi MILIONI TATU ( 3 ) Hivi Katuma Katika Namba Yangu Na Hata Mimi Nimeshangaa Na Sasa Hivi ANANIPIGIA SIMU HUKU AKILIA Kuwa Alikosea Kwani Alikuwa Anamtumia Mtu Mwingine Ili AWAHI Pale Agha Khan Hospital Kuweka Mazingira Na Madaktari Kabla Yeye ( Wao Na Mgonjwa ) Hawajafika Hivyo Anaomba NIMRUDISHIE Hizo Pesa.

Sasa Nawaombeni USHAURI Wenu Ndugu Zangu Je NIWE MUUNGWANA KWA HUYU JAMAA Na AMBAYE SASA HIVI ANATEMBEA NA ALIYEKUWA DEMU WANGU NA NIMRUDISHIE HIZI HELA au NA MIMI NILIPE KISASI HAPA HAPA? Naumia Mno Kwani AMENIDHALILISHA SANA Halafu Kibaya Zaidi Kila Siku ANANISEMEA Mbaya Kwa MASELA KITAANI.

Nitaangalia Hapa MICHANGO Yenu Mingi Na Hata Yeye Nimeshamwambia Kuwa NAWAULIZA MARAFIKI Zangu Wa JAMII FORUMS Hivyo Na Yeye Aingie Kisha Awe ANAFUATILIA Majibu Ambapo Kama Nikiona Posts Nyingi Zinasema NIWE MUUNGWANA NIMRUDISHIE NITAFANYA HIVYO LAKINI NIKIONA Posts Nyingi ZINASEMA NILIPIZE KISASI BASI HIZI HELA SITAMRUDISHIA Hivyo Kuanzia Sasa Hivi Nasubiria Responses Zenu MEMBERS ILI Nifanye MAAMUZI Na Yeye Pia Nimemwambia Tuwe Tunahesabu Wote Posts Zenu ILI Mwisho Wa Siku Nifanye MAAMUZI.

Karibuni Sana Marafiki Zangu Wote Na NAWAHAKIKISHIENI KUWA NITAYAHESHIMU MAJIBU YENU AMBAPO MKISEMA NIZIRUDISHE NITAFANYA HIVYO NA MKISEMA NIZILE NAPO NITAFANYA HIVYO. Akhsanteni ILA Sitaki Akina Nifah, Mussolin5, UncleBen, kadoda11, mshana Jr, Copenhagen DN Na miss chagga Wachangie UZI Wangu Huu Kwani Najua Tu WATANICHANGANYA Hivyo Wakae Zao Tu Kimya Ili Members Waliobaki Ambao Ndiyo Naona Wana HEKIMA Kushinda Wao WACHANGIE.
Hadithi yootee hii, sentensi nne tuu!??

Huyu sio Gentamycine ninaye mfahamu.

Yaani hakuna koma habari yotee hiyoo...

Anyway.. Rudisha pesa yake.
 
Kuwa muwazi kiongoz kwa situation hiyo ww kidume ndiyo umetemwa( umeachwa) ni hali ya kawaida ila acha umalaya
 
To be honest ningekuwa mm ningeenda kigamboni kupata proti ya ukumbusho
 
Ukichukua hela bado hujalipa kisasi. Kulipiza kwa huyo ni kumuachisha huyo manzi au kumgongea manzi wake
 
Ukidhurumu hyo pesa,Huyo mama akifa chanzo ni wew na huwez jua Huyoo mama anamsaada ganiii ktk familia na jamiii yake.
Huyo mwanamke achana nae hakuwa ridhiki yako.
 
Acha kutufanya sisi wajinga kuchepuka ufanye wewe ushauri tukupe sisi . we mfwate mchepukp wako muendelee na mahusiano
 
Back
Top Bottom