Je, nitumie uungwana au na mimi nilipize kisasi?

Je, nitumie uungwana au na mimi nilipize kisasi?

Haha asante dada yangu ni ile siku tunaongelea kumatch mavazi ,nimemaliza tu kukujibu nashangaa naambiwa nina Ban sijui nimefanya name calling ,popoma pamoja na madhambi yake hana roho mbaya ya kuniripoti

Nashukuru Kwa Kulijua Hilo Mkuu. Mimi Nina Roho Ya KITAJIRI Sana Na Laiti Members Wote Humu WANGEKUWA WAVUMILIVU KAMA MIMI Wala Hizo BAN Zisingekuwepo. Utashangaa Yaani Mtu Hata HUJAMPIGA YEYE DONGO Tayari Anawahi KUKURIPOTI.
 
Sina TABIA Ya Kumripoti Mtu HUMU JF Hata Mwenyezi Mungu Ni SHAHIDI Ila Wengi Wenu ( Siyo Wewe ) Mmekuwa Ni WATU MNAONIRIPOTI KILA UCHAO SEMA TU MWENYEZI MUNGU ANANIPIGANIA! Tuache CHUKI ZA KIJINGA DHIDI YA ID Fulani Na Mkae Mkijua Watu TUNAFANYA KAZI NZITO SANA HADI KUWAFANYENI MUWE BUSY HUMU, MFURAHI NA MBURUDIKE PIA KWA VIONJO MBALIMBALI VYA UTANI WA HAPA NA PALE NA KUKOSOANA KISOMI NA SOMETIMES KUPEANA " MADONGO ". Utashangaa JITU ZIMA UNALIPIGA DONGO HUMU BADALA YA KUKUJIBU LINAKIMBILIA KUKURIPOTI Halafu Eti Ukipigwa Tu BAN ANAFURAHI. Hivi Mfano Mimi Nikipigwa BAN Mtapata Wapi Mtu Wa KUWACHOKOZA NA KUWACHANGAMSHENI? Tujifunze KUHIMILI MANENO YA HUMU NA TUVUMILIANE!
Popoma una akili sana basi tu unajitoaga fahamu.
Sipatii picha jibaba zima linashindwa kujibu mashambulizi ya humu linaripoti kwa mods....
Tena mtu asiyemjua anamjaza upepo namna hiyo,na bado linajiita dume!

Wewe ukipigwa ban ni zaidi ya msiba,kuna siku Mussolin5 aliwahi kusema "Popoma ana umuhimu wake aiseee"....lol
 
Kumbe na wewe ni popoma namna hii?
(Japo najua hii ni chai) ila huo muda wa kuhesabu posts za kura ya ndio au hapana jamaa atapiga simu kwa mtandao husika na kurudishiwa pesa zake. (Hakuna sehemu uliyosema umeshatoa hizo pesa).
Anyways.....asante kwa chai japo ya leo chungu
Umemaliza sisemi kitu tena, this guy is a fool.huo muda anao poteza ku count kura si jamaa atakuwa ashapiga,simu vvoda au tigo na pesa imerudishwa.
 
Umemaliza sisemi kitu tena, this guy is a fool.huo muda anao poteza ku count kura si jamaa atakuwa ashapiga,simu vvoda au tigo na pesa imerudishwa.
Hii ni chai mkuu,wala usiumize kichwa.
 
Popoma una akili sana basi tu unajitoaga fahamu.
Sipatii picha jibaba zima linashindwa kujibu mashambulizi ya humu linaripoti kwa mods....
Tena mtu asiyemjua anamjaza upepo namna hiyo,na bado linajiita dume!

Wewe ukipigwa ban ni zaidi ya msiba,kuna siku Mussolin5 aliwahi kusema "Popoma ana umuhimu wake aiseee"....lol

Akhsante Dada Na Sikuwahi Kujua Kama Nina UMUHIMU Wa Kiasi Hiki Kwamba Nikiwa Sipo Humu Mnakuwa WAPWEKE. All In All MEMBERS Tujifunze KUVUMILIANA Na Kibaya Zaidi Watu WANAOKIMBILIAGA KUNIRIPOTI NI WANAUME Wenzangu Utadhani Labda " Nimewakanyagia " Mademu au Wake Zao Wakati Masikini Wa Mungu Mimi Humu NAFANYA TU UTANI Na MZAHA Ila Ni Mtu Mmoja Poa Sana. Labda Niwaambieni Tu Kuwa Huu UCHAKARAMU Wangu Hata OFISINI Ni Hivi Hivi Na Siku Nisipoenda Kazini Nitapigiwa Simu Na Kuanzia Mabosi Wa Juu Hadi Walinzi Getini Kwani Nikiwepo Tu KAZINI Jua Hapo Hakuna ATAKAYENUNA au KUKASIRIKA Kwa Aina Yangu Ya VITUKO Na UKOMEDI Huku Kazi Zikienda. Kitaani Ndiyo Usiseme Nikikaa Tu Na Masela Lazima Ndani Ya Dakika 5 Watu WATAJAZANA Kisha Naanza " Kuwakaanga " Kuwadanganya Pale Na Stori Za Mipira, Mara Mademu Mara Siasa Kisha Tunaingia Katika Kupeana ELIMU Ya Maisha Baada Ya Hapo Nawaacha WAMERIDHIKA NA MIMI Nasepa Zangu Ghetto. Siku Nitakayoacha VITUKO Vyangu Labda Ni Pale Nikimkabidhi Rasmi Roho Yangu ISRAELI.
 
Umemaliza sisemi kitu tena, this guy is a fool.huo muda anao poteza ku count kura si jamaa atakuwa ashapiga,simu vvoda au tigo na pesa imerudishwa.

Hivi Mtu Anayejiona Ni Clever Kama Wewe Halafu Anajua KABISA Kuwa Anasoma UZI Wa FOOL ( Mimi ) Nani Hapo Anaonekana Ni Pure POPOMA ALIYETUKUKA? Naomba Unijibu Mr. Clever In POPOMA.
 
Dar es salaam sasa hiv chai hainyweki, jaribu masika yakianza
 
Kumbe na wewe ni popoma namna hii?
(Japo najua hii ni chai) ila huo muda wa kuhesabu posts za kura ya ndio au hapana jamaa atapiga simu kwa mtandao husika na kurudishiwa pesa zake. (Hakuna sehemu uliyosema umeshatoa hizo pesa).
Anyways.....asante kwa chai japo ya leo chungu
Shushu lako nmelielewa
 
Nilivyo Na Shida Kama Siyo Dhiki Ya Hela Yaani Mpaka Sasa Hivi Niwe Bado Sijazitoa Tu! Nimerogwa au? Kwa Taarifa Yako PESA Zote Ninazo Na Nimezitolea Hapa Sinza OIL Com Sheli Na Nimezihifadhi. Tena Ukiendelea KUNITIBUA Nitapandisha HASIRA ZANGU KALI Za KINYARWANDA Na Nisimrudishie Kabisa. Si Unanijua Lakini Kuwa Mtutsi Mimi Kubadilika au Kufanya Maamuzi Magumu Kwangu Ni Dakika Moko Tu?
Teh Teh....mtu na na kaka yake ..! kunywa chai hiyo Nifah..
Kumbe na wewe ni popoma namna hii?
(Japo najua hii ni chai) ila huo muda wa kuhesabu posts za kura ya ndio au hapana jamaa atapiga simu kwa mtandao husika na kurudishiwa pesa zake. (Hakuna sehemu uliyosema umeshatoa hizo pesa).
Anyways.....asante kwa chai japo ya leo chungu
 
Back
Top Bottom