Je, nitumie uungwana au na mimi nilipize kisasi?

Je, nitumie uungwana au na mimi nilipize kisasi?

Baada ya kulipiza kisasi, utapata faida gani? Kisasi huzaa kisasi na kuna siku nawe utatamani ungemrudishia hela zake.
Pili, kwa mazingira hayo unalipiza kisasi kwa mamake ambaye wala hajui kilichotokea kati yenu. Je, huyu mama akifa kwa kukosa hizo hela, utajiona ulifanya la maana au vipi? Tafakari.
 
Aliyekukosea ni jamaa ila mama yake hajakukosea rudisha usije kuwa chanzo cha mauti au matatizo makubwa kwenye familia yake mkuu
 
Hata Sikumbuki Na Nimeshasahau. Halafu Kuna Mtu Hapo Juu KAKUFANANISHA Wewe Na MIMI Na Amesema Kuwa Ana UHAKIKA Kuwa ID Yako Ndiyo Hii Pia Ya GENTAMYCINE. Sasa Nasubiri Kwanza Uanze Kumjibu Kwa Kumpa MAKAVU Yake Kisha Mimi Nitakuja Kufunga Kazi!
Achana nae huyo,katika mapopoma yote JF yeye anaongoza.
Ile siku uliyomtukana hukukosea aiseeh
 
bora zigo la misumari kuliko ujinga kamba yako nimeruka bhn sijajikwaa
 
Intelijensia gani ya kipopoma namna hiyo?
Kama umeshindwa kung'amua kuwa sisi ni watu wawili tofauti sijui nikuweke kwenye kundi gani.
Maana hata nikikuita POPOMA ULIYETUKUKA haitoshi.....
Kaoshe kwanza hiyo papuchi urudi ukiwa msafi
 
watutsi tuna kanuni moja AKUANZAE MMALIZE

sasa wewe sijui mtusi wa wapi....
 
Achana nae huyo,katika mapopoma yote JF yeye anaongoza.
Ile siku uliyomtukana hukukosea aiseeh

Nyie Si Huwa MNADHANI Nikiwapa Watu Humu " MAKAVU " Yao Labda Nakuwa Nakosea au Nimekurupuka? Ukiona Namwita Mtu Humu POPOMA au POPOMA ALIYETUKUKA Jua Ya Kwamba Ni MUUNGANIKO MKUU WA MANENO YOTE YA SHOMBO UNAYOYAJUA WEWE au MNAYOYAJUA NYIE Na PIA NIMEMDHARAU KWA KIASI KIKUBWA SANA Na Hata FAIDA Ya KUISHI HANA KWANI UPEO WAKE UNAENDA TU KWA KUDRA ZAKE MAULANA. Ogopa Sana Nikikuita POPOMA au Nikaongezea ULIYETUKUKA. Wewe Nakubali Unavyoniita Kwakuwa Najua TUNATANIANA Kama KAKA Na DADA Ila Ngoja Siku AKURUPUKE Mtu Kutoka Huko ALIKOTOKA Aniite Hivyo Aone Sebene Lake.
 
Nyie Si Huwa MNADHANI Nikiwapa Watu Humu " MAKAVU " Yao Labda Nakuwa Nakosea au Nimekurupuka? Ukiona Namwita Mtu Humu POPOMA au POPOMA ALIYETUKUKA Jua Ya Kwamba Ni MUUNGANIKO MKUU WA MANENO YOTE YA SHOMBO UNAYOYAJUA WEWE au MNAYOYAJUA NYIE Na PIA NIMEMDHARAU KWA KIASI KIKUBWA SANA Na Hata FAIDA Ya KUISHI HANA KWANI UPEO WAKE UNAENDA TU KWA KUDRA ZAKE MAULANA. Ogopa Sana Nikikuita POPOMA au Nikaongezea ULIYETUKUKA. Wewe Nakubali Unavyoniita Kwakuwa Najua TUNATANIANA Kama KAKA Na DADA Ila Ngoja Siku AKURUPUKE Mtu Kutoka Huko ALIKOTOKA Aniite Hivyo Aone Sebene Lake.
Hahahahahaaaaaa
 
Jamani pole kaka yangu kipenzi,kumbe ndio maana umepotea hivi?
Au ni popoma alikuripoti nini?Lakini sidhani....hawezi kufanya hivyo.
Haha asante dada yangu ni ile siku tunaongelea kumatch mavazi ,nimemaliza tu kukujibu nashangaa naambiwa nina Ban sijui nimefanya name calling ,popoma pamoja na madhambi yake hana roho mbaya ya kuniripoti
 
Yaani nikosee kutuma afu nikupigie simu hiyo haipo. Nikikosea tu napiga huduma kwa mteja haraka wanaizuia
 
Jamani pole kaka yangu kipenzi,kumbe ndio maana umepotea hivi?
Au ni popoma alikuripoti nini?Lakini sidhani....hawezi kufanya hivyo.

Sina TABIA Ya Kumripoti Mtu HUMU JF Hata Mwenyezi Mungu Ni SHAHIDI Ila Wengi Wenu ( Siyo Wewe ) Mmekuwa Ni WATU MNAONIRIPOTI KILA UCHAO SEMA TU MWENYEZI MUNGU ANANIPIGANIA! Tuache CHUKI ZA KIJINGA DHIDI YA ID Fulani Na Mkae Mkijua Watu TUNAFANYA KAZI NZITO SANA HADI KUWAFANYENI MUWE BUSY HUMU, MFURAHI NA MBURUDIKE PIA KWA VIONJO MBALIMBALI VYA UTANI WA HAPA NA PALE NA KUKOSOANA KISOMI NA SOMETIMES KUPEANA " MADONGO ". Utashangaa JITU ZIMA UNALIPIGA DONGO HUMU BADALA YA KUKUJIBU LINAKIMBILIA KUKURIPOTI Halafu Eti Ukipigwa Tu BAN ANAFURAHI. Hivi Mfano Mimi Nikipigwa BAN Mtapata Wapi Mtu Wa KUWACHOKOZA NA KUWACHANGAMSHENI? Tujifunze KUHIMILI MANENO YA HUMU NA TUVUMILIANE!
 
Haha asante dada yangu ni ile siku tunaongelea kumatch mavazi ,nimemaliza tu kukujibu nashangaa naambiwa nina Ban sijui nimefanya name calling ,popoma pamoja na madhambi yake hana roho mbaya ya kuniripoti
Kweli aisee maana tokea pale sijakuona tena...
Pole sana,huenda kuna sehemu ulim-mention mtu akakufanyia roho mbaya,hasa magamba huko siasani epuka sana kuyaita.

Popoma ubaya wake ni matusi tu akishavuta bhange zake,ila namuelewa sana.
 
Back
Top Bottom