Je, nini umuhimu wa kuhakiki cheti cha kuzaliwa na cheti cha kifo? Kwanini wanaongeza gharama za kuhakiki bila taarifa?

Nedd Ludd

Senior Member
May 16, 2023
134
240
Habari ndugu wana JF,

Mmimi naomba kujua umuhimu wa kuhakiki vyeti RITA, kwasababu hadi leo hii sijajua maana ya kufanya hivyo.

Maana vyeti wanatoa wao lakini pia wanahitaji kuhakiki, kwahiyo wanavyotoa vyeti zile taarifa huwa hawahifadhi au wakati wa usajili wa cheti husika hawawezi kuhakiki kabisa? Tafadhali mnaofahamu naomba mnifahamishe.

Lakini pia, kwenye mfumo huo wa kuhakiki awali malipo yalikuwa ni TZS 3,000 kwa kila cheti, ghafla gharama zimepanda hadi Tsh. 6,000 kwa kila cheti, nayo hii ipoje wakuu?
 
Habari ndugu wana JF,

Mmimi naomba kujua umuhimu wa kuhakiki vyeti RITA, kwasababu hadi leo hii sijajua maana ya kufanya hivyo.

Maana vyeti wanatoa wao lakini pia wanahitaji kuhakiki, kwahiyo wanavyotoa vyeti zile taarifa huwa hawahifadhi au wakati wa usajili wa cheti husika hawawezi kuhakiki kabisa? Tafadhali mnaofahamu naomba mnifahamishe.

Lakini pia, kwenye mfumo huo wa kuhakiki awali malipo yalikuwa ni TZS 3,000 kwa kila cheti, ghafla gharama zimepanda hadi Tsh. 6,000 kwa kila cheti, nayo hii ipoje wakuu?
vya mchongo viko vingi. Uhakiki ni lazima. unahofu nini?
 
Hizo ni dalili za kuishi in a pithole country, kuhakiki ni rahisi tu kwa kuingia kwenye RITA website na kutumbukiza number, then unapata majibu hapo hapo ,na jingine hawa RITA ni kufutilia mbali, vyeti vya kuzaliwa na kufa vitolewe na wizara ya home affairs (nitakapo kuwa Rais nitaivunja wizara hii na kutengeneza wizara mbili)police (usalama wa ndani na raia),mambo ya ndani(uraia na immigrations)
 
Back
Top Bottom