Je, nikimuoa naweza nikampenda?

Je, nikimuoa naweza nikampenda?

Upendo ukamilika ikiwa pande zote mbili zinatoa mchango sio upande mmoja tu ,jitahidi umpende sasa hivi kama utashindwa kabisa usijichimbie kaburi ambalo hutoweza kutoka.Ndoa ni agano la milelee utalala nae utaamka nae kila iitwapo leo.
 
Muoe tu mbona wengine wanapendana upendo unaisha wanaachana and vice versa

Jifunze kumpenda ata kimazoea
 
Angalia vitu vinne tu kama anavyo japo vitatu chukua goma hilo.

1.Dini yake
Hapa kama wewe muislam je nae muislam? Kama mkristo na wewe mkristo?. Oa mtu wa dini yako kuepusha migogoro pia hakikisha mwanamke anaijua dini ili ikusaidie wewe na kizazi chako kiwe cha maana.

2.Uzuri wake
Hapa sio sura tu angalia vyote kuanzia tabia zake,jinsi anavyovaa na mengineyo yanayohusu tabia zake isije ikawa kero kwako.

3.Ukoo wake
Hapa kuna muhimu pia kuna familia zingine si za kuchumbia hadi kuoa utateseka kutokana na matendo machafu ya ukoo wao au magonjwa ya ajabu ajabu kama ya kurithi. Oa mwanamke amabae ukoo wao unavumilika ili ikitokea shida iwe rahisi kusolvika

4.Mali yake
 
Mkuu mimi sijaoa, ila nina mademu ambao hawana sifa za kuwa mke..

Nakushauri tuu kwa uzoefu wangu na wanawake.

Oa huyo binti , hakika oa mwanamke anaye kupenda ndugu yangu na alie teyari hata kuina pesa zake anaweza kukupatia wewe.

Oa huyo binti haijalishi unampenda au humpendi, haijalishi unahisia naye au huna husia naye. Jikaze kiume muoe huyo binti na Mungu awabariki.

"SISI WANAUME WENZAKO TUNA TAFUTAGA BAHATI KAMA HIZ ILA HATUZIPATI KABISA"

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Unakuta unamuacha huyo unaenda kuoa single mother
 
Unampenda sema huna pesa hivyo hauko huru kwake...sie wanaume tunapenda siku 90 tu baada ya hapo ni mapendo.
 
Kuoa mtu anaye kupenda ni nzuri zaidi, kuliko ku oa unayempenda wewe, wanaume ukisha oa ukaishi na mke siku 60 unampenda kwa vile vitu anavyo kufanyia, we oa.
 
Mpende anaekupenda asiekupenda achana nae...........mpaka leo nimeshindwa kuowa kwa sababu sijampata mwanamke wa kunipenda...wengi wao wanaokuja kwangu huja kwa sababu ya njaa walizonazo...
 
Habari za majukumu ndugu zangu, nipo hapa kuomba ushauri wa kimahusiano natumaini ntapata majibu ya hiki kinachonitatiza.

IPO HIVI

Miaka miwili nyuma niliwahi kuzoeana na mdada mmoja, kiumri namzidi miaka miwili, nilifahamiana nae kipindi nimeenda kijijin kuwasalimia wazazi na kupata baraka zao.

Alikuwa ni jirani yetu (nyumba ya 3 kutoka kwetu) na pia mara nyingi tulikuwa tunaonana baada ya salamu kila mtu nachukua hamsin zake.

Sasa katika kuanza kuzoeana nilimuomba namba, hakusita alinipatia maongezi yahakamia kwenye simu, cha ajabu huyu binti alinizoea kupitiliza ikawa yeye ndo ananitafuta mara kwa mara hatimaye akaamua kunifungukia juu ya hisia zake kwangu na kuniambia ametokea kunipenda,

Niliona nimkubalie tu lakini hakuwa moyoni mwangu kabsa,sikuwahi kumwelewa nilimchukulia kama mdogo wangu (niliona nifanye hivyo asinichukie wala kujisikia vibaya)

Ndani ya hii miaka miwili huyu binti sijawahi kumhisi kwa chochote kibaya,pia hata nikiwa na shida ni mwepesi sana wa kunisaidia (hasa kifedha).

Binti huyu ana kila sifa ya kuitwa mke (namaanisha vigezo vyote ninavyovihitaj kutoka kwa mwanamke anavyo vyote ,changamoto tu ni kwamba sina hisia naye hata kidogo.

Wiki 2 zilizopita aliomba kuja kunitembelea,na alikuja kwa gharama zake na wala sikushtuka nilipomtuka bikra (maana amejituliza mno, mno, mno )

Kuhusu kipato chake.
Ameajiriwa na shangazi yake stationary, anamlipa 150k kwa mwez

Kuna muda namjaribu kwa kumwambia mshahara wake awe anautuma kwangu,hana noma anatuma tu badae namuonea huruma namrudishia.

Ila na mm sometimes huwa namtumia pesa za matumiz (kwa aibu baada ya kula vyake vingi)

kwa upande wa mawasiliano sijawahi mtafuta ,siku zote anaanza yy wala hajawah kuhoji hiki kitu,ndani ya mwezi naweza mtafuta mara 1 yy mara hata 1000 (anatekeleza kwa moyo wake wote)

Ndugu zangu moyo wangu huna chembe yyte ya hisia kwake,naweza nikaongea lolote,chochote ni nikaona poa tu ,ila yy ni mnyenyekevu

JE nimuoe hivyo hivyo ntampenda hapo mbeleni au nimpotezee tu nisije nikamtesa mtoto wa watu

Ushauri tafadhali.

EA3D6F97-325C-4CAA-96BD-373536FC6C36.jpeg



027273BB-86E7-4B28-9C12-C0449F3237A1.jpeg


Kwa maelezo ya kina SOMA HAPA
 
Habari za majukumu ndugu zangu, nipo hapa kuomba ushauri wa kimahusiano natumaini ntapata majibu ya hiki kinachonitatiza.

IPO HIVI

Miaka miwili nyuma niliwahi kuzoeana na mdada mmoja, kiumri namzidi miaka miwili, nilifahamiana nae kipindi nimeenda kijijin kuwasalimia wazazi na kupata baraka zao.

Alikuwa ni jirani yetu (nyumba ya 3 kutoka kwetu) na pia mara nyingi tulikuwa tunaonana baada ya salamu kila mtu nachukua hamsin zake.

Sasa katika kuanza kuzoeana nilimuomba namba, hakusita alinipatia maongezi yahakamia kwenye simu, cha ajabu huyu binti alinizoea kupitiliza ikawa yeye ndo ananitafuta mara kwa mara hatimaye akaamua kunifungukia juu ya hisia zake kwangu na kuniambia ametokea kunipenda,

Niliona nimkubalie tu lakini hakuwa moyoni mwangu kabsa,sikuwahi kumwelewa nilimchukulia kama mdogo wangu (niliona nifanye hivyo asinichukie wala kujisikia vibaya)

Ndani ya hii miaka miwili huyu binti sijawahi kumhisi kwa chochote kibaya,pia hata nikiwa na shida ni mwepesi sana wa kunisaidia (hasa kifedha).

Binti huyu ana kila sifa ya kuitwa mke (namaanisha vigezo vyote ninavyovihitaj kutoka kwa mwanamke anavyo vyote ,changamoto tu ni kwamba sina hisia naye hata kidogo.

Wiki 2 zilizopita aliomba kuja kunitembelea,na alikuja kwa gharama zake na wala sikushtuka nilipomtuka bikra (maana amejituliza mno, mno, mno )

Kuhusu kipato chake.
Ameajiriwa na shangazi yake stationary, anamlipa 150k kwa mwez

Kuna muda namjaribu kwa kumwambia mshahara wake awe anautuma kwangu,hana noma anatuma tu badae namuonea huruma namrudishia.

Ila na mm sometimes huwa namtumia pesa za matumiz (kwa aibu baada ya kula vyake vingi)

kwa upande wa mawasiliano sijawahi mtafuta ,siku zote anaanza yy wala hajawah kuhoji hiki kitu,ndani ya mwezi naweza mtafuta mara 1 yy mara hata 1000 (anatekeleza kwa moyo wake wote)

Ndugu zangu moyo wangu huna chembe yyte ya hisia kwake,naweza nikaongea lolote,chochote ni nikaona poa tu ,ila yy ni mnyenyekevu

JE nimuoe hivyo hivyo ntampenda hapo mbeleni au nimpotezee tu nisije nikamtesa mtoto wa watu

Ushauri tafadhali.
Mpende akupendae asekupenda achana nae
 
Habari za majukumu ndugu zangu, nipo hapa kuomba ushauri wa kimahusiano natumaini ntapata majibu ya hiki kinachonitatiza.

IPO HIVI

Miaka miwili nyuma niliwahi kuzoeana na mdada mmoja, kiumri namzidi miaka miwili, nilifahamiana nae kipindi nimeenda kijijin kuwasalimia wazazi na kupata baraka zao.

Alikuwa ni jirani yetu (nyumba ya 3 kutoka kwetu) na pia mara nyingi tulikuwa tunaonana baada ya salamu kila mtu nachukua hamsin zake.

Sasa katika kuanza kuzoeana nilimuomba namba, hakusita alinipatia maongezi yahakamia kwenye simu, cha ajabu huyu binti alinizoea kupitiliza ikawa yeye ndo ananitafuta mara kwa mara hatimaye akaamua kunifungukia juu ya hisia zake kwangu na kuniambia ametokea kunipenda,

Niliona nimkubalie tu lakini hakuwa moyoni mwangu kabsa,sikuwahi kumwelewa nilimchukulia kama mdogo wangu (niliona nifanye hivyo asinichukie wala kujisikia vibaya)

Ndani ya hii miaka miwili huyu binti sijawahi kumhisi kwa chochote kibaya,pia hata nikiwa na shida ni mwepesi sana wa kunisaidia (hasa kifedha).

Binti huyu ana kila sifa ya kuitwa mke (namaanisha vigezo vyote ninavyovihitaj kutoka kwa mwanamke anavyo vyote ,changamoto tu ni kwamba sina hisia naye hata kidogo.

Wiki 2 zilizopita aliomba kuja kunitembelea,na alikuja kwa gharama zake na wala sikushtuka nilipomtuka bikra (maana amejituliza mno, mno, mno )

Kuhusu kipato chake.
Ameajiriwa na shangazi yake stationary, anamlipa 150k kwa mwez

Kuna muda namjaribu kwa kumwambia mshahara wake awe anautuma kwangu,hana noma anatuma tu badae namuonea huruma namrudishia.

Ila na mm sometimes huwa namtumia pesa za matumiz (kwa aibu baada ya kula vyake vingi)

kwa upande wa mawasiliano sijawahi mtafuta ,siku zote anaanza yy wala hajawah kuhoji hiki kitu,ndani ya mwezi naweza mtafuta mara 1 yy mara hata 1000 (anatekeleza kwa moyo wake wote)

Ndugu zangu moyo wangu huna chembe yyte ya hisia kwake,naweza nikaongea lolote,chochote ni nikaona poa tu ,ila yy ni mnyenyekevu

JE nimuoe hivyo hivyo ntampenda hapo mbeleni au nimpotezee tu nisije nikamtesa mtoto wa watu

Ushauri tafadhali.
Muoe huyo , ndo mke kabisa.
Kwanza inapaswa yeye akupende sana kuliko wewe Ili mahusiano yaendelee.
 
Usimuoe.
Utamtesa na kwa sifa zake
hastahili kuteseka huyo.
Muache atapata wakumpenda na wewe Mungu atakupatia mwingine utakayempenda.
Kuishi na mtu usiye na hisia nae ni mateso.
 
Hauta pata mwingine mwenye upendo kama huyo...

Ni vigumu sasa katika hizi nyakati kumkuta binti aliestaarabika kama huyo..Pia ukumbuke ni jirani yako na hata wazazi wako wanamfahamu...Angali familia yako itaenda kuadhirika vipi hapo...

Nikushauri mwanamke muaminifu ndie sahihi kuwa nae kwenye mahusiano na anakuwa na nyota nzuri sana, Zingatia familia yako ijayo itakuwa na mama wainagani kwa watoto wako, Usiendekeze hisia za ujanani sana kwani wazee walisema ujana ni maji ya moto..🧐
 
Mzee baba huo mzigo.
Nina scenario km yako ila tofauti huyu wangu sio bikra. Sina hisia nae kabisa na nilimtongoza tu ktk harakati za kutest mitambo.
Kaniganda mwaka wa 3 huu na sijaonana nae tena ingawa anaishi buguruni hapo.
Sometimes asiponicheki nahisi km kummiss flani hivi.
Nimegundua naweza kujifunza kumpenda pia na Badae nimuoe maana ni wife material haswa km huyo wako.
Tatizo ni Kwamba sio bikra ndio ugumu wa kimaamuzi upo hapo.
Huyo wako muoe tu utampenda mdogomdogo maana ndio katoka kwa Bwana huyo.
 
Oa Mwanamke ulie na HISIA NAEE.. anaekupenda! Otherwise utapata tabu sanaa unamgongaa unaweka sura ya Ashura kichwanii.. Ndoa itakuwa kama gerezaa kwako
 
Back
Top Bottom