Jpinduzi
Senior Member
- Feb 26, 2011
- 136
- 68
Mawasiliano ya karibu hufanya uelewe mawazo na matatizo ya mpenzi wako. Mwonyeshe na mthibitishie kwamba unampenda na huna mwingine zaidi yake. Hakikisha unakuwa muwazi na mkweli. Mkielewana vizuri mnaweza kusaidiana katika kutatua matatizo iwapo mmoja wenu atakuwa nayo. Kwa kufanya hivyo mtajenga moyo wa kuaminiana.
Jitahidi usiwe na marafiki wengine. Utamfahamu vizuri rafiki yako iwapo mtazungumza kila mara kuhusu mipango ya uhusiano wenu, vitu anavyopendelea kufanya baada ya saa za kazi au masomo,watu anaowasiliana nao n.k.
IWAPO HAMTAAMINIANA JIULIZE
Kwa nini iwe hivyo. Je, inawezekana huyu mtu hanifai au mapenzi yangu ni kidogo kiasi ambacho siwezi kuzuia vishawishi vingine?
Jitahidi usiwe na marafiki wengine. Utamfahamu vizuri rafiki yako iwapo mtazungumza kila mara kuhusu mipango ya uhusiano wenu, vitu anavyopendelea kufanya baada ya saa za kazi au masomo,watu anaowasiliana nao n.k.
IWAPO HAMTAAMINIANA JIULIZE
Kwa nini iwe hivyo. Je, inawezekana huyu mtu hanifai au mapenzi yangu ni kidogo kiasi ambacho siwezi kuzuia vishawishi vingine?