Je, niachane na mapenzi kwa sasa?

Je, niachane na mapenzi kwa sasa?

Jambo usilopenda kufanyiwa wewe, basi usimfanyie mwenzio, hakika utalipwa....hapa apa duniani"
Ndo maana nataka kuachana nae kwa amani na sitaki kumuumiza tena... Nathamini utu wake ndo maana nimekuja kuomba ushauri hapa ili nisimuumize
 
Na hiyo karma itakutafuna milele mpaka watoto wako.
Ndo maana nimekuja kuomba ushauri hapa ili ili hiyo karma isiendelee kunitafuna.. Hata hivo binti nime mrudisha school na mwaka huu atafanya mtihani tena chini ya usimamizi wangu japo bado sina ajira..
 
Back
Top Bottom