Je, niachane na mapenzi kwa sasa?

Je, niachane na mapenzi kwa sasa?

Unahitaji kumrudia Mungu wewe, inashangaza walimu wa kuwaonyesha maaadili watoto wetu ndo wamekuwa MAFISI wakubwa wa kuptosha na kuwaharibu watoto wetu. Mungu akusamehe na uokoke ndugu
 
Unahitaji kumrudia Mungu wewe, inashangaza walimu wa kuwaonyesha maaadili watoto wetu ndo wamekuwa MAFISI wakubwa wa kuptosha na kuwaharibu watoto wetu. Mungu akusamehe na uokoke ndugu
Nilianza nae mahusiano mwaka 2013 mwez wa pili na tukaachana mwaka huohuo mwezi wa kumi.. Alaf hakuwa mtoto maana tunalingana ki umri ila yeye alifeli ndo maana mimi nikawa kama mwalimu wake
 
Kuachana hakunaga amani ukitaka kujua hilo ebu vuta taswira uyo demu wa chuo alvyokuacha ulikuwa na aman?
 
Jambo usilopenda kufanyiwa wewe, basi usimfanyie mwenzio, hakika utalipwa....hapa apa duniani"
Kila mtu kwa nafs yke n mbinafs mkuu! So, n bora kuisha ka mbwa ukafa kibinadamu kulko kuish kibinadamu ukafa ka mbwa!!
 
mkuu na wew ni mwandishi wa miziki yetu ileee.....
Kusuka au Kunyoa...

Kuwa na Mkono wa Birika au wa Kutoa...

Kujenga Taifa au Kubomoa...

Kufunga Pingu za Maisha au kukataa Kuoa...

Kugawanya, Kujumlisha, Kuzidisha au Kutoa...

Chagua moja...

Kuishi Kihuni au Kifala...

Ufanye Mziki Uspoon au ufanye Mziki Biashara...

Iwe KATUNI au HIP HOP imara..

Chagua kuchuna...

Au kuchonga ngenga...

Ukate SUNA au ubakie na Mkono wa SWETA...

Usahau ya nyuma uangalie unapokwenda...

Ufanye Kazi kama Mtumwa...

Ili uje uishi kama Mfalme...

Usimame au Ukae...

Mchukie au mpende akupendae...

Ufiche UCHI, au uvue CHUPI Uzae...

Unipe Heshima yangu au niichukue kwa nguvu...

Nijifanye nna adabu au nkuletee ukauzu...

Chagua moja...
 
Sio hivo mkuu mi nataka niachane nae kwa sababu tayari kaishazalishwa na mtu mwingine na mimi najiona sipo tayari kuishi na mtu aliezaaa tayari
[emoji15] usifanye kitu ambacho wewe hupendi kutendewa, umefanya dhambi ya kwanza mpaka umeharibu future yake, then unasema eti ziwezi kumuoa kisa kazalishwa[emoji15] hiyo dhambi bado inakutafuna na itaendelea, kama wewe ungekuwa na mtoto then ukampata mwanamke ambaye unataka kumuoa lkn akwambia kuwa siwezi kuolewa na wewe kisa una mtoto[emoji14] so usitumie mtoto kama ndio fimbo ya kumpigia
 
Back
Top Bottom