Je, niachane na mapenzi kwa sasa?

Je, niachane na mapenzi kwa sasa?

kweli mkuu utakuta MTU kaomba msaada baada ya kumsaidia wanaenda nje ya mada
Umeona eeh.. Watu tupo njia panda tunahitaji ushauri alaf mtu mara wasomi vilaza mara oohh nini.. I hate this..
 
Haya maneno dhahiri hii Hoja sio ya kuokota...

Mshika Mawili siku zote moja humponyoka...

Hata ukifanya kosa...

Ukaamua kuongopa...

Chagua moja...

Sio unajistukia unagota...

Kugangamala na kusota, ili kutoka...

Au kulala na kuota, kuwa unafoka...

Chagua moja...

Kuamua kungoja...

Au kutumia Kinga kwa kila Tendo moja...
Kama hajaelewaaa arudi utotoni
 
MKUU POLE SANA KWA UNAYOPITIA .....
MIMI NAONA UFANYE MAWILI,,MOJA JITAHIDI UKAPATANE NAE NA UMUELEZE UKWEL KUA HUNA MAPENZI.NAYE KWAMBA MUWE MARAFIKI TU JAPO HILI ANAWEZA KULIPOKEA KWA HALI YA TOFAUTI SANA NA UTAMUUMIZA SANA MANA INAELEKEA ANAKUPENDA SANA NA ANAONEKANA ANA MAPENZI YA DHAT KWAKO, LAKINI LA PILI NAONA UMKUBALI TU MUWE PAMOJA MWANAMKE HUYO ANAKUPENDA KWA DHATI UNAHITAJI NINI TENA NDUGU YANGU?? ULIEENDA KUMPENDA MWINGINE AMEKUTENDA NA AKAKUONESHA TABIA ZAKE HALISI CHAFU NA ZA KUKATISHA TAMAA ...IKAFIKIA UKAKONDA MWISHO AKAKUACHA...KARMA.....SASA HUJAJIFUNZA TU HAPO KITU NDUGU YANGU? MKUBALI HUYU NA TARATIBU UTAJIFUNZA KUMPENDA NA MTAISHI VIZURI.
 
MKUU POLE SANA KWA UNAYOPITIA .....
MIMI NAONA UFANYE MAWILI,,MOJA JITAHIDI UKAPATANE NAE NA UMUELEZE UKWEL KUA HUNA MAPENZI.NAYE KWAMBA MUWE MARAFIKI TU JAPO HILI ANAWEZA KULIPOKEA KWA HALI YA TOFAUTI SANA NA UTAMUUMIZA SANA MANA INAELEKEA ANAKUPENDA SANA NA ANAONEKANA ANA MAPENZI YA DHAT KWAKO, LAKINI LA PILI NAONA UMKUBALI TU MUWE PAMOJA MWANAMKE HUYO ANAKUPENDA KWA DHATI UNAHITAJI NINI TENA NDUGU YANGU?? ULIEENDA KUMPENDA MWINGINE AMEKUTENDA NA AKAKUONESHA TABIA ZAKE HALISI CHAFU NA ZA KUKATISHA TAMAA ...IKAFIKIA UKAKONDA MWISHO AKAKUACHA...KARMA.....SASA HUJAJIFUNZA TU HAPO KITU NDUGU YANGU? MKUBALI HUYU NA TARATIBU UTAJIFUNZA KUMPENDA NA MTAISHI VIZURI.
Mkuu nashukuru sana kwa ushauri mzuri na kwenye tija ila hata nikisema nijifunze kumpenda pia imani zetu za kidini ni tofauti japo alinambia yupo tayari kubadili dini tatizo litakuwa kwa ndugu zake maana watamtenga na ndoa yetu haitakuwa na baraka za wazazi wa pande zote mbili.. Ki ukweli binti ananipenda sana
 
Mkuu nashukuru sana kwa ushauri mzuri na kwenye tija ila hata nikisema nijifunze kumpenda pia imani zetu za kidini ni tofauti japo alinambia yupo tayari kubadili dini tatizo litakuwa kwa ndugu zake maana watamtenga na ndoa yetu haitakuwa na baraka za wazazi wa pande zote mbili.. Ki ukweli binti ananipenda sana
DAH KUMBE KUNA ISHU YA IMANI.
ILA SASA KAMA AMEAMUA KUBADILISHA DINI KWA AJIL YAKO HIO TU IMENIAMINISHA NILICHOSEMA KUA ANAKUPENDA KWA DHATI, KWAIO KWA ISHU HIO INABID SASA USHIRIKISHE WAZEE UWAONESHE MSIMAMO, ONGEA NAO ILI WAKUTANE NA WAZEE UPANDE WA MWANAMKE ILI MWISHO WA SIKU KAMA MNAENDA KUA KITU KIMOJA BASI MPATE BARAKA ZA WAZAZI. LAKIN HUYO SINA SHAKA ANAKUPENDA.
 
A
DAH KUMBE KUNA ISHU YA IMANI.
ILA SASA KAMA AMEAMUA KUBADILISHA DINI KWA AJIL YAKO HIO TU IMENIAMINISHA NILICHOSEMA KUA ANAKUPENDA KWA DHATI, KWAIO KWA ISHU HIO INABID SASA USHIRIKISHE WAZEE UWAONESHE MSIMAMO, ONGEA NAO ILI WAKUTANE NA WAZEE UPANDE WA MWANAMKE ILI MWISHO WA SIKU KAMA MNAENDA KUA KITU KIMOJA BASI MPATE BARAKA ZA WAZAZI. LAKIN HUYO SINA SHAKA ANAKUPENDA.
Ahsante sana kwa ushauri mzuri mungu akubariki
 
Habari ndugu wana JF,

Naamini ni wazima wa afya njema huku mkiendelea na majukumu yenu ya kila siku ya kutafuta mkate wa kila siku, bila kupoteza muda hebu twendeni kwenye maada kuu.

Mimi ni kijana wa kiume niliyehitimu chuo mwaka huu, wakati nimemaliza form six nilirudi mtaani na kuendelea na shughuli zangu ndogo ndogo huku nikisubiri matokeo yatoke niendelee na chuo.

Sasa pale mtaani kwetu kuna familia ilikuwa imehamia baada ya baba wa familia hiyo kuhamishiwa kikazi katika mkoa wetu, katika familia hiyo alikuwepo binti mmoja mzuri mweupe na mwenye umbo la kuvutia sana daaah! Alikuwa ni mzuri jamani.

Bahati nzuri yule baba mwenye familia aliulizia ni wapi atapata mwalimu wa kuwafundisha watoto wake akiwepo yule mkubwa ambae ndo yule binti mzuri kwani alikuwa kafeli mtihani wa mwaka uliopita na aliitaji kurudia ili asafishe chet. Watu walimuelekeza kwangu yule mzee na nikaanza kufanya majukumu yangu ya kiualimu kwa kuwafundisha watoto wake.

Sasa yule mkubwa kiukweli nilimpenda kimapenzi ila niliogopa kumtongoza maana kama angenikataa basi ingekuwa aibu kwangu mimi kama mwalimu then ningehatarisha kibarua changu hivo ikabidi niwe mpole tu lakini baadae nikasema siwezi kufa kwa kiu baharini nikajitosa kumtongoza chaajabu akasema ticha hata mimi nilikuwa nakupenda ila niliogopa kukwambia.

Daaah! Aisee yule binti alinipenda sana na alinipa kila kitu nilichotaka, nilifanyanae mapenzi mpaka nikamkinai na uzuri sikuuona tena maana nikitaka kula tunda nilikuwa napewa mpaka nashiba.

Kosa nililofanya kubwa baada ya kumtumia sana mtoto wa watu nilivyofika chuo nikapata msichana mwingine na yeye nikampotezea. Matokeo yamekuja kutoka binti kafeli tena na mimi sikushangaa maana muda mwingi wa kusoma tuliutumia kufanya ngono.

Na wala sikuumia sana kwani nilihisi ni ujinga wake binafsi. Shida ikawa kwa huyu mpenzi mpya ambae mwanzo nilimuona anafaa sana alikuja badilika akaanza kunifanyia visa kila siku, ikawa vurugu kila siku lakini hatimae huyu mpenzi mpya tukaachana japo alinikondesha mpaka mwili, maana alikuwa na tabia chafu sana na mimi nilimpenda kuliko maelezo lakini jitihada zangu za kumrudisha kwenye mstari sahihi zilishindikana,
Daaah alinifanya niisome namba kwa kiarabu.Huyu binti alienisumbua moyo nimedumu nae kwa miaka mitatu.

Sasa basi baada ya kuwa nimetendwa na nliempenda nikaamua kuwa tafuta wapenzi wangu wa zamani ili nisikose penzi, nilifanikiwa tena kumnasa yule mwanafunzi nilie mfelisha ila cha ajabu nilimkuta tayari amezaa mtoto ila wametengana na alie mpa hiyo mimba na bado kaonesha ananipenda sana na akanilaumu kuwa baada ya mimi kumuacha alijikuta anatafuta faraja ili kuondoa stress ndo kupata hiyo mimba na anadai hakuna mwanaume kama mimi hapa duniani.

Nacho hisi ni kwamba ile law of karma ilinitafuna baada ya mimi kumuumiza na kupata msichana mwingine kama uzi wa PATO3221 ulivoeleza. Sasa roho inaniuma sana na nikikumbuka alivonipendaga na mimi nikamfanyia maovu.

Jamani nifanyeje niachane na huyu binti kwa amani maana nahisi anataka kunipenda tena na mimi kwake nilifata msambwanda tu baada ya kuzinguana na yule kicheche wa kule chuo? Sitaki kumuumiza tena maana nimeshajua malipo ni hapahapa duniani.

Naombeni ushauri jamani sitaki matusi, nahitaji msaada wenu wa kimawazo ili nimuache kwa amani na tusiwe maadui ili na mimi niendelee kubarikiwa.
kweli wanaume mnaboa khaaaaaah siwapendi basi tuuu ukiwa unajua huna lengo na mtu kwa nini kumfanyia hivyo alafu yeye alikuamini akakupenda uwiiiiiiiii sasa ukamuaribia na maisha yake kabisa maana kitendo cha kuikosa elimu tena kwa mtoto wa kike daaaaah mpaka aje asimame sio kazi rahisii daaaaah yaani nimeumia utafikiri ni mimi huyo binti alafu mtu asiolewe msema wasichana wanaringa kwa hivi bora nifanye yangu ukinikuta mbele tutaenda lkn ninavyotaka mimi.inaumaaaaaa
 
kweli wanaume mnaboa khaaaaaah siwapendi basi tuuu ukiwa unajua huna lengo na mtu kwa nini kumfanyia hivyo alafu yeye alikuamini akakupenda uwiiiiiiiii sasa ukamuaribia na maisha yake kabisa maana kitendo cha kuikosa elimu tena kwa mtoto wa kike daaaaah mpaka aje asimame sio kazi rahisii daaaaah yaani nimeumia utafikiri ni mimi huyo binti alafu mtu asiolewe msema wasichana wanaringa kwa hivi bora nifanye yangu ukinikuta mbele tutaenda lkn ninavyotaka mimi.inaumaaaaaa
Mimi sijaaribu maisha yake cause nilikutana nae akiwa tayari amefeli mtihani so alikuwa ana reseet tu.. Hata ivo nimemwambia arudie tena mtihani mwaka huu na mimi ndo ntakuwa namfundisha na hela ya mtihani ntalipa mimi so ubaya wangu uko wapii.. Bado sija ajiriwa lakini najitahidi kumfanya na yeye ajione binadamu.. Sitaki kurudia makosa tena ndo maana nimekuja hapa kuomba ushauri je nimuachaje na asiumie moyo??
 
Mimi sijaaribu maisha yake cause nilikutana nae akiwa tayari amefeli mtihani so alikuwa ana reseet tu.. Hata ivo nimemwambia arudie tena mtihani mwaka huu na mimi ndo ntakuwa namfundisha na hela ya mtihani ntalipa mimi so ubaya wangu uko wapii.. Bado sija ajiriwa lakini najitahidi kumfanya na yeye ajione binadamu.. Sitaki kurudia makosa tena ndo maana nimekuja hapa kuomba ushauri je nimuachaje na asiumie moyo??
ni heri basi umueleze ukweli maana ukweli siku zote humuweka mtu huru mueleze kuwa hauko tayari kuwa naye tena sasa unavyokaa kimya hivyo unategemea nini yeye anajiwekea moyoni kuwa wewe ni wake
 
ni heri basi umueleze ukweli maana ukweli siku zote humuweka mtu huru mueleze kuwa hauko tayari kuwa naye tena sasa unavyokaa kimya hivyo unategemea nini yeye anajiwekea moyoni kuwa wewe ni wake
Nahofia kumuumiza sana moyo maana kanizoea sana tena.. Mtu mwenye makosa ni yule alie mzalisha na wakaachana.. Kuna kauli yake moja ndo huwa inaniumiza sana roho.. Anasema alilia sana nlivoondoka na kumuacha sasa mungu kasikia kilio chake na kunirudisha tena kwake... Sasa mtu kama huyu nikimwambia tuachane si nitasababisha msiba.. Na machozi ya mtu huwa hayapotei buree.. Nahofia machozi yake yataitesa sana familia yangu na ndoa yangu huko mbele ya safari
 
Nahofia kumuumiza sana moyo maana kanizoea sana tena.. Mtu mwenye makosa ni yule alie mzalisha na wakaachana.. Kuna kauli yake moja ndo huwa inaniumiza sana roho.. Anasema alilia sana nlivoondoka na kumuacha sasa mungu kasikia kilio chake na kunirudisha tena kwake... Sasa mtu kama huyu nikimwambia tuachane si nitasababisha msiba.. Na machozi ya mtu huwa hayapotei buree.. Nahofia machozi yake yataitesa sana familia yangu na ndoa yangu huko mbele ya safari
inaonyesha hauko teyara kwa ushauri basi mkubali kama alivyo maana kila unachoambiwa wewe unaweka pingamizi kuwa sijui atakuelewa vipi sasa unataka akuelewe vipi wewe kama unajiona ni mkosaji kwake muombe msamaha kwa yote unayoona umemkosea alafu muache pia punguza ukaribu naye mazoea
 
Haya maneno dhahiri hii Hoja sio ya kuokota...

Mshika Mawili siku zote moja humponyoka...

Hata ukifanya kosa...

Ukaamua kuongopa...

Chagua moja...

Sio unajistukia unagota...

Kugangamala na kusota, ili kutoka...

Au kulala na kuota, kuwa unafoka...

Chagua moja...

Kuamua kungoja...

Au kutumia Kinga kwa kila Tendo moja...
mkuu na wew ni mwandishi wa miziki yetu ileee.....
 
Back
Top Bottom