S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,621
- 32,736
Endelea na mawazo hayo nikutumie Ashura!Mtoto ni wa aliyeamua kuzaa sio mimi,Kama alikuwa hatunzi alizokuwa ananichuna lazima ile kwake
Kama humjui Ashura fanya kumuuliza LwandaMagere
Endelea na mawazo hayo nikutumie Ashura!Mtoto ni wa aliyeamua kuzaa sio mimi,Kama alikuwa hatunzi alizokuwa ananichuna lazima ile kwake
Starehe yetu iliishia kwenye kulipana,haya mengine aliamua yeyeunachekesha kweli wewe starehe ufanye wewe halafu ukimbie majukumu, mhudumie huyo ni Mtoto wako haijalishi haukuwa tayari kwa hilo mfanye Mtoto ajisikie kuwa ana Baba.
Aje huyo Asura sijui Ashura
Basi utakuwa akili kisodaUmri umeenda sana tatizo dishi labda
Kisoda kote hukoBasi utakuwa akili kisoda
Hee na matusi tena?Acha uFalla,, Lea mtoto... Huo ni wajibu wako na ni lazima pia...
Swala la mtoto hata kama ulizaa na kichaa lazima umlee.
Acha kutafuta Justification... Mkatae mama yake ila mwanao lea... Fakyu..
Hee na matusi tena?
Ndo maana nishasikia wazungu wanasema 20 years ago two people decided to have unprotected sex...now they want me to feed myself....Masuala ya kuzaa tunayachukulia poa sana.
Ikumbukwe ni binaadamu tunamleta duniani hivyo na pamoja na uzembe wetu huyo kiumbe hakuchagua kuletwa duniani.
Hivyo basi tunatakiwa tuhakikisha uwepo hapa duniani unapata haki zake za msingi bila malumbano.
It's the least the two dumb fucks can do anyway.
Kama unazo njuruku we hudumia tu,mambo ya kulialia,ni kama huna kituMlikuwa katika mahusiano na hamkuwahi kukubaliana kuzaa mtoto, bahati mbaya au mzuri mkatiana mimba mtoto akazaliwa,
Je, huyo mama wa mtoto ana haki yoyote ya kumchukulia hatua baba wa mtoto endapo hatakuwa anatoa huduma kwa mwanaye?
Kumbuka, hawakuwa na makubaliano ya kuzaa, mama mtoto alikuwa anamchuna jamaa na jamaa alikuwa anamtumia mama mtoto kama kipezeo.
Mhudumie mtoto hilo halina kukwepa,sheria ikiingilia utamuhudumia kwa lazima japo sio gharama ila utahudumia tu.Hapa suala sio gharama ndogo au kubwa, Mimi nayeye tulishamalizana alinichuna akaambulia mimba,huyo mtoto ananihusu vipi?hata yeye angenipa kisonono ningehangaika nacho mwenyewe bila kuomba msaada wowote kwake
Nimekuelewa sana mkuu,je inawezekana baba ambaye hajakuelea kabisa mpaka unafikia umri wa kujitegemea akakupa laana?Mhudumie mtoto hilo halina kukwepa,sheria ikiingilia utamuhudumia kwa lazima japo sio gharama ila utahudumia tu.
Usiwe na kinyongo nae yawezekana unamchukia sana na hutaki hata kumsikia,usijali ktk hilo Muangalie yule mtoto na ufahamu
ni mwanao tu na hata usipomuhudumia akiwa mkubwa atakutafuta tu maana ataambiwa baba ako ndandambuli yule paleee
so usisubiri muda ufike mtoto aje akuulize maswali magumu ushindwe mjibu uanze kumtishia kumlaani,Be responsible father plz
achana na msahau huyo mwanamke,mfikirie mtoto wako,Akili yako yote mfikirie yeye hata kama n kwa % ndogo sana ila usimsahau mtoto wako,ni damu yako na ni utambulisho wako hapa duniani.
Kama mnadharirika poa tu mbaya kudhalilikaSwali hili linatudharirisha wanaume. We mtelekeze siku akipata mafanikio usimtafute
Hakuna njuruku sizizokuwa na malengo mkuuKama unazo njuruku we hudumia tu,mambo ya kulialia,ni kama huna kitu
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Achilia mbali ambae hajakulea,hata aliekulea tangu uko kwenye mawazo yake,ukaingia tumboni,ukazaliwa akakulea mpk unajitegema hamna kitu inaitwa Laana chini ya JUA,ukiona amekutamkia et ulaaniwe na hutofanikiwa milele na kweli hujafanikiwa ujue ni Uzembe wako tu kwenye maisha yako wala sio yale maneno (laana) aliyokutamkia baba/mama.Nimekuelewa sana mkuu,je inawezekana baba ambaye hajakuelea kabisa mpaka unafikia umri wa kujitegemea akakupa laana?