Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,819
- 9,171
Mlikuwa katika mahusiano na hamkuwahi kukubaliana kuzaa mtoto, bahati mbaya au mzuri mkatiana mimba mtoto akazaliwa,
Je, huyo mama wa mtoto ana haki yoyote ya kumchukulia hatua baba wa mtoto endapo hatakuwa anatoa huduma kwa mwanaye?
Kumbuka, hawakuwa na makubaliano ya kuzaa, mama mtoto alikuwa anamchuna jamaa na jamaa alikuwa anamtumia mama mtoto kama kipezeo.
Maswali mengine bwana yanasikitisha ,mambo kama haya ndio yanakuja kutuletea kina NYANGE.