mwenye hoja sema toka tundu lissu awe mbunge kawafanyia nini wana singida
kwani mgao wa pesa ya jimbo unafanya kazi gani vipi pesa ya sabodo kuchimba visima majimbo yote ya chademaUlitaka awape wananchi wake maji na barabara kwani amewahi kukusanya hela zao?
kwani mgao wa pesa ya jimbo unafanya kazi gani vipi pesa ya sabodo kuchimba visima majimbo yote ya chadema
bora darasa la saba la msukuma kuliko chuo kikuu alichosoma lissuLusinde (std 7 ya kuungaunga)
Msukuma (std 7 ya kuungaunga)
Viti maalumu
Naibu spika
Ndugai
hata ma-ccm wote
bora darasa la saba la msukuma kuliko chuo kikuu alichosoma lissuLusinde (std 7 ya kuungaunga)
Msukuma (std 7 ya kuungaunga)
Viti maalumu
Naibu spika
Ndugai
hata ma-ccm wote
binafsi nisingependa kuwaona wazee kama endrew chengeKwa binafsi yangu sipendi kuwaona Tundu Lisu na Halima Mdee kwani kazi yao kubwa ni kukashifu serikali huku wapiga kura wao wakiwa na kero lukuki.
Mfano wa Lissu ni singida mashariki ipo nyuma sana kielimu maji safi ni tatizo kubwa na mbunge hana jitihada zozote za kutatua shida hizo kazi yake ni kukashifu serikali na kujilimbikizia madaraka yasio na manufaa kwa wapiga kura wake upande wa Mdee alishindwa kutatua mgogoro wa ardhi Mabwepande mpaka mkuu wa mkoa Bw Paulo Makonda akafanya
Yaaan Nape,Bashe, wasitegemee kupitishwa na ccm
Salma kikwete Kijana wake amekashifiwa kuuza madawa ya kulevya na bado kakubali kuwa mbunge wa pombeNaanza na profesa j mbunge wa mikumi kwa tiketi ya chadema,ccm wanachukua lile jimbo mchana kweupe