GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,111
Sasa kama Wewe Abiria Mwenzangu umeshika Simu ya Gharama (ya Kitajiri) ya Tsh 1,700,000/= na Unaidai Chenji yako ya Tsh 100/= kwa Kondakta tena kwa Kelele nyingi Daladalani Mimi GENTAMYCINE Choka Mbaya mwenye Simu yangu hii ya Phillips Kitochi nifanyeje?
Najua kuwa Hela yoyote ni Halali ya Mhusika ila sometimes unaweza Ukadharaulika na Hadhi yako Kushuka kwa Ushamba na Ujuha kama huu.
Na huyu Mwamba niliyekutana nae leo Kimwonekano wake si kwamba ana Dhiki ya Kimaisha kama Mimi GENTAMYCINE bali anaonekana ni Mtu mwenye Maisha yake mazuri ila alikuwa anakomaa kudai Chenji yake ya Tsh 100/= kwa Kondakta ndani ya DalaDala kama vile Beki wa Yanga SC Bakari Nondo Mwamnyeto anavyowakomalia Washambuliaji Hatari ili Wasifunge Magoli.
Najua kuwa Hela yoyote ni Halali ya Mhusika ila sometimes unaweza Ukadharaulika na Hadhi yako Kushuka kwa Ushamba na Ujuha kama huu.
Na huyu Mwamba niliyekutana nae leo Kimwonekano wake si kwamba ana Dhiki ya Kimaisha kama Mimi GENTAMYCINE bali anaonekana ni Mtu mwenye Maisha yake mazuri ila alikuwa anakomaa kudai Chenji yake ya Tsh 100/= kwa Kondakta ndani ya DalaDala kama vile Beki wa Yanga SC Bakari Nondo Mwamnyeto anavyowakomalia Washambuliaji Hatari ili Wasifunge Magoli.