BinSalum7
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,678
- 3,732
Kwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?
Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samuye kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?"
Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest , bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.
RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE
Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samuye kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?"
Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest , bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.
RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE