Toboamambo
Member
- Sep 16, 2007
- 26
- 5
Kuwaruhusu wanafunzi waliokwisha jifungua(wamekuwa akina mama kufikia hapo)kujumuika na wanafunzi ambao bado hawajafikia kuwa wazazi kujichanganya na kusoma kwa pamoja inakuwa sawa???????????
MAONI:
Kwa mimi naona wanatuaribia wanetu kwani sio kama walivyokuwa mwanzo.Sasa ni wazazi na kuchanganywa na wanafunzi inakuwa sio sawa kabisa.
PENDEKEZO:
Nafikiri wafunguliwe shule ambazo wanasoma wazazi kivyao kwani kama ni ELIMU wataipata tuu,kwani hawakujua raha na kharaha zake wakiwa kwenye mambo hayo???
MAONI:
Kwa mimi naona wanatuaribia wanetu kwani sio kama walivyokuwa mwanzo.Sasa ni wazazi na kuchanganywa na wanafunzi inakuwa sio sawa kabisa.
PENDEKEZO:
Nafikiri wafunguliwe shule ambazo wanasoma wazazi kivyao kwani kama ni ELIMU wataipata tuu,kwani hawakujua raha na kharaha zake wakiwa kwenye mambo hayo???