MABATI YA SUNBAK TANZANIA
JF-Expert Member
- Jan 10, 2025
- 216
- 576
Je ni sahihi Serikali kumjeruhi Father Kitima?
Kamulize samia aliyeapa kuumiza wakosoaji wakeJe ni sahihi Serikali kumjeruhi Father Kitima?
Tumia akili badala ya makalio, serikali ipi imemjeruhi, tupe ushahidi. Mtu mzm mwenye akili unawezaje kuropoka upuuzi km huo?Je ni sahihi Serikali kumjeruhi Father Kitima?
Fadha kajeruhiwa, na hakuna mwenye ushahidi wa aliyemjeruhi, je, hii ina maana hajajeruhiwa???Tumia akili badala ya makalio, serikali ipi imemjeruhi, tupe ushahidi. Mtu mzm mwenye akili unawezaje kuropoka upuuzi km huo?
Acha ushubwada, serikali ya Samia ndiyo imemjerhi father KitimaTumia akili badala ya makalio, serikali ipi imemjeruhi, tupe ushahidi. Mtu mzm mwenye akili unawezaje kuropoka upuuzi km huo?
Una ushahidi kuwa ni serikali imemjeruhi?Je ni sahihi Serikali kumjeruhi Father Kitima?
Hapa umezingua kinoma yaani...IPO siku mtakinywea hiki kikombe cha wakosoaji wenu.Yan, mnMvamia padre mumjeruhi n au mumuue kabisa ili ku push agenda ya no Reforms.
Mliapiza kuwa mtatumia nguvu ya umma, Sasa huo umma umegoma kuwaungeni mkono ktk udharim mnataka kutumia njia za kumwaga damu.
Serikali ingetaka kumwua ingetumia jasusi lenye siraha proper kabisa. Na hata angepotexaa mazima. Hiyo childishness yenu haitoboi popote.
MUNGU ANAILINDA TANZANIA.
hamuwezi mkapata URAIS kwa gharama ya dam za wenzenu ... Inapaswa mmwage dam zenu wenyewe .
Ivi unadhani Viongozi wa kisiasa ni wajinga wakaanze kuwavamia Viongozi wa dini badala wakapeleke vijizawadi ili wawaunge mkono ??
Kwahiyo ushahidi usipokuwepo maanake serikali ndo imemjeruhi?Fadha kajeruhiwa, na hakuna mwenye ushahidi wa aliyemjerui, je, hii ina maana hajajeruhiwa???
Kwa sababu gani imemjeruhi serikali ya samia?Acha ushubwada, serikali ya Samia ndiyo imemjerhi father Kitima
Ni ufedhuli mkubwa wa serkali ya CCM.Je ni sahihi Serikali kumjeruhi Father Kitima?
wakatolic to ukutaneJe ni sahihi Serikali kumjeruhi Father Kitima?
Wewe jamaa akili zako hata bashite humfikii. Mbaya zaidi kuna mtu anakuita babaYan, mnMvamia padre mumjeruhi n au mumuue kabisa ili ku push agenda ya no Reforms.
Mliapiza kuwa mtatumia nguvu ya umma, Sasa huo umma umegoma kuwaungeni mkono ktk udharim mnataka kutumia njia za kumwaga damu.
Serikali ingetaka kumwua ingetumia jasusi lenye siraha proper kabisa. Na hata angepotexaa mazima. Hiyo childishness yenu haitoboi popote.
MUNGU ANAILINDA TANZANIA.
hamuwezi mkapata URAIS kwa gharama ya dam za wenzenu ... Inapaswa mmwage dam zenu wenyewe .
Ivi unadhani Viongozi wa kisiasa ni wajinga wakaanze kuwavamia Viongozi wa dini badala wakapeleke vijizawadi ili wawaunge mkono ??
Swali hili aulizwe SamiaKwa sababu gani imemjeruhi serikali ya samia?