Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,278
- 2,041
Wadau nawasabahi. Kama mada ilivyo kumekuwa na utaratibu mpya kwa makanisa ya kiroho (haya ya watu binafsi kama Kanisa la Gwajima, Mwingira na mzee wa upako n k) kuwatangazia waumini wao kutuma sadaka zao kwa njia ya mpesa Tigo Pesa nk. Utaratibu huo ni tofauti na makanisa ya Lutheran, Roma, Anglican, Moravian n.k.
Kwa uzoefu wangu toka nimeanza kwenda makanisani utaratibu wa kutoa sadaka ni muumini kwenda kanisa muda wa kutoa sadaka ukiwadia waumini wote huenda madhabauni kutoa sadaka zao.
Kutokana na huo utaratibu wa kutoa sadaka kwa mpesa tigo pesa n.k binafsi siuone kama ni sahihi, je mdau mwenzangu je huo utaratibu ni sahihi au ni wizi wa kidini?
Nakaribisha maoni yenu
Kwa uzoefu wangu toka nimeanza kwenda makanisani utaratibu wa kutoa sadaka ni muumini kwenda kanisa muda wa kutoa sadaka ukiwadia waumini wote huenda madhabauni kutoa sadaka zao.
Kutokana na huo utaratibu wa kutoa sadaka kwa mpesa tigo pesa n.k binafsi siuone kama ni sahihi, je mdau mwenzangu je huo utaratibu ni sahihi au ni wizi wa kidini?
Nakaribisha maoni yenu