Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,036
Hilo neno likiandikwa kwenye ndege basi hizo ni ndege za chama
Acheni masihara; ina maana ndege zimeandikwa Hapa Kazi Tu?!
naomba niandike kwa kifupi,hivi kweli ni sahihi ndege za umma kuitwa kauli mbiu ya chama wakati zimenunuliwa kwa kodi za wananchi ambao wapo wenye itikadi tofauti na wasio na vyama..je ni sahihi kauli mbiu hii ya chama kutumika kwenye ndege hiz za uma???
utadharaulika kwa komenti za hovyo kama hizi!Kauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco
Waache Waite uwezijua kauli mbiu ikiisha na yenyewe imeisha .naomba niandike kwa kifupi,hivi kweli ni sahihi ndege za umma kuitwa kauli mbiu ya chama wakati zimenunuliwa kwa kodi za wananchi ambao wapo wenye itikadi tofauti na wasio na vyama..je ni sahihi kauli mbiu hii ya chama kutumika kwenye ndege hiz za uma???
mkuu aliyesema ni prof. msomi kabisaStupid Words Huyo aliesema ziitwe hapa kazi Tu wakat kuna Mlima Kilimanjaro tuutangaze Utaliii wetu
Msomi asiyejitambuamkuu aliyesema ni prof. msomi kabisa
Wakichukua nchi waziandke ukutaKauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco
Acha kuvuta weseKauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco
Pasco usinitafutie ban ya lazima naomba unitake radhi!!Kauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco
Pasco katika ubora wako.Kauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco
MKUU HELLO, umejuaje? !.Acha kuvuta wese