Je, Ni sahihi ndege hizi kupewa jina la 'hapa kazi tu'?

Kauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco
Wacha u maandazi wewe baba hii ni mali ya watanzania twiga yule anawakilisha tz. Kwani Huyu baba ametoa pesa mifukoni kwake akanunua ndege?! au ndo anataka kuanza kujimilikisha mali za watanzania? Mchewwwwwww sijawahi ona duniani hii sio private jet wala sio ndege ya ccm halaaaa
 
Jina tu ndo litukoseshe usingizi? We must be serious. Mbona ndege nyingine imekuwa registered 5H-CCM na bado watu tunakula, tunalala na mambo yetu yako mswano tu!!
Hiyo ni ya kambarage alipewa hii ni ya kwetu tumenunua wala si private jet..... mnataka muibandike mabango kama boda boda NA bajaji heee ni akili gani hizo wakaweka stika kwenye ile ya ccm.. Maana kwanza watz wengi wa naichukia ccm NA istoshe majambazi NA vibaka wanautumia huu msemo wa# hapa kazi tu wakati wanatuibia huku mitaani
 
Kauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco
Pasco kwa hili umechemka....
hiyo ni slogan ya kisiasa...sasa nyie wekeni hapo kwenye pangaboi mtapanda wenyewe...na atcl mtaiua wenyewe.
 
Bila kazi ndege zingekujaje ? Toka utawala wa JK walipanga kika mwaka kununua ndege na miaka kumi iliisha
 
hatupandi hizo ndege zinanuksi ya ccm...kiuchumi wamekosea kibiashara wahesabu hasara
 
...hapa kazi tu kama hamna tija ni ujinga...kazi lazima iendane na tija....kama watu hawaoni tija kwenye kauli hii basi ni kazi bure...ni sawa na kauli zilizopita za 'kilimo kwanza'....'hari mpya kasi mpya'....zote zimekuja kwa kishindo na zikafa natural death....kauli zisizo endelevu hizi toka chama kimoja hazimsaidii maskini wa TZ...
 
nakerwa kuona profesa akitetea tumbo lake kufanya kazi badala ya kulinda cheti na taaluma yake.
Kwa nini isipewe majina ya vivutio vyetu vya ndani?
 
Kwani si Nasikia imeshaanguka??

AAANDEGE.jpg
 
Naomba niandike kwa kifupi,

Hivi kweli ni sahihi ndege za umma kuitwa kauli mbiu ya chama wakati zimenunuliwa kwa kodi za wananchi ambao wapo wenye itikadi tofauti na wasio na vyama, je ni sahihi kauli mbiu hii ya chama kutumika kwenye ndege hizi za uma?
kuna ubaya gani mbona kenya ndege yao moja inaitwa Serengeti nakumbuka ndege moja ya serikali ilikuwa na registration ya Charlie , Charlie, (CCM)
 
Hizi panga sha zitadondoka hewani coz nasikia zimepambwa mau na mabango utazani zile baskel za wasukuma

Plus na haya masimango mtandaoni ukiongeza na hiyo slogan lazima iyo ndege idondoke coz itakuwa imeoverload
 
Si mliziponda eti mapanga shaa sasa kinawauma nini? Sikujua kama zinamaana mpaka ya kuutangaza ml kilimanjaro!!! Kweli when cowards advises they can show you how hypocritical they are!
Prof Mbarawa Mnyaa akili zake zoote za Uprofesa wake zimeishia kwenye slogan ya kitoto hivyo? Kweli ukiwa ndani ccm unaziacha akili na utu wake nje ya mlango wa chama! Wakitoswa huwa akili ndio inarudi!! Sham Prof Mbarawa
 
Kauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco

Sikufikiria mtu kuwaza kijinga kama hivi...Ilani ya taifa hata siku moja siyo ilani ya chama maana ilani ya taifa yaweza kutekelezwa na chama chochote kitakachoingia madarakani.....think twice
 
Back
Top Bottom